Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuchana tuBwahahahahahahahahah!
Mbona makasiriko hivo mzeyyyyy kwema???
Ngoja waje wale wa WATAACHANA tuKuna watu wanajua kupendana![]()
Kuna watu wanajua kupendana![]()
Haka kasong kasindikize comment yakoWishing him an endless love and happiness 💋💋❤️!
Mbona kinyonge😂Hongera sana kwake.
Wala sio kinyonge nimeona tu mambo yake nimwachie mwenyewe 😁😁Mbona kinyonge😂
Muwe na wakati mzuri leo 🙏🙏🙏Kabiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiisa granpa! Hakika umesema vemaa!
Kweli wazee ni tunu sio kwa madini hayaa!
Asante na Barikiwa sana babuu!
Kwani ephen_ ulikuwa wapi....kwanini hatujaonana kabla
Subiri nikachungulie gallery yanguWala sio kinyonge nimeona tu mambo yake ninwachie mwenyewe 😁😁

Nasubiri.Subiri nikachungulie gallery yangu![]()