Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie nini?Hadi wewe Duh
Mfalme Ni Godzilla tuHuyu sio mfalme wa Hip hop
Au wenzangu mnasemaje?
ulitaka awe mainstream kama joh makin?Hivyo vibao alivhotamba navyo labda vibao vya mbuzi.
Msanii gani miaka zaidi ya 10 ni underground.
Si ndio huyu aliyekuwa analilia kupewa show?
Sasa Afrika mikononi ukoloni ndo umeshafika ukingoni/ mboni ya msomi haitodanganyikaUmekuja kujianzishia thread humu? Msanii gani huyu analilia show, kwa nyimbo zake amuite Nani? Anasifiwa Hadi na Young lunya show zote kubwakubwa yumo
Wewe Niki ni fwala tu, watakusikiliza hukohuko buza na kwa mpalange
Maisha ni safari wape ladha ma-passenger/Nikki mbishi kaniangusha sanaa asee, huyu jamaa alivyotoa ngoma ile ya starehe mwaka 2009 mwishoni niliona atakua bonge la msanii mkubwa wa hip hop kumbe hakuna kitu
Young Lunya keshateka soko anaelekea kuwa mainstream sasa..huyo nikki Muda wake ushapita.Usikute ni yangi yunga mwenyewe hata nyimbo zake hazina majina Album hana unakuta nyimbo inaitwa session[emoji16]
Joh kwa sasa anaweza kumsajili hadi uyo nikk na akatulia fresh ..ulitaka awe mainstream kama joh makin?