Happy birthday to Emmyta

Hadi huyu jirani!!!![emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
ha h ha past tense maana yake huyo mzee mie vyangu namba D tu hao T104AAA siwatak
 
Hahaaa. Naisubiria ujue. [emoji124] [emoji124]
Wala usijali emmyta we andaa mazingira ya kuipokea tu hiyo zawadi.[emoji309] [emoji320]

Ila ingenoga zaidi kama ningeona ka picha kako mkuu ili niweze kukuandalia zawadi nzuri na inayokufaa na inayokuenea vizuri.....
 
Wala usijali emmyta we andaa mazingira ya kuipokea tu hiyo zawadi.[emoji309] [emoji320]

Ila ingenoga zaidi kama ningeona ka picha kako mkuu ili niweze kukuandalia zawadi nzuri na inayokufaa na inayokuenea vizuri.....
Hivi best una zawadi kweli mbona masharti kibao. [emoji2] [emoji2]

Basi usihangaike nitaifuata mwenyewe huko huko. [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Hivi best una zawadi kweli mbona masharti kibao. [emoji2] [emoji2]

Basi usihangaike nitaifuata mwenyewe huko huko. [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Tehteh.....zawadi ninayo mkuu emmyta.

Ila jinsi ya kuipata wewe ndo nawaza aiseee!!

Au upo nilipo huku mimi maana hii ni jamiiforums ujue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…