Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Mdogo wako na nani? Nyie wote wadogo zangu.Kumbe mdogo wetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdogo wako na nani? Nyie wote wadogo zangu.Kumbe mdogo wetu
utasubir sana uwe mkubwaMdogo wako na nani? Nyie wote wadogo zangu.
ha h ha past tense maana yake huyo mzee mie vyangu namba D tu hao T104AAA siwatakHadi huyu jirani!!!![emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Ahsante [emoji120] [emoji120] ila umechelewa bana.Kumbe nimerudi siku zenyewe.. Heri ya kuzaliwa mamiloo
Hivi nimekufanyaje lakini mbona hivyooo. Mi ni zile TZA .....ha h ha past tense maana yake huyo mzee mie vyangu namba D tu hao T104AAA siwatak
Usijali, samahani kwa kuchelewa ila sijachelewa kabisaaaaaAhsante [emoji120] [emoji120] ila umechelewa bana.
Ilikuwa jana.
Tehteh.....samahani mkuu sikuwa online siku ya tukio.Ahsante.
Ila imeshapita we ndio unaibuka leo
Kweli hujachelewa mana hata keki hatujaimaliza bado. [emoji2] [emoji2]Usijali, samahani kwa kuchelewa ila sijachelewa kabisaaaaa
Hahaaa. Naisubiria ujue. [emoji124] [emoji124]Tehteh.....samahani mkuu sikuwa online siku ya tukio.
Nina zawadi yako emmyta[emoji85]
Wala usijali emmyta we andaa mazingira ya kuipokea tu hiyo zawadi.[emoji309] [emoji320]Hahaaa. Naisubiria ujue. [emoji124] [emoji124]
Hivi best una zawadi kweli mbona masharti kibao. [emoji2] [emoji2]Wala usijali emmyta we andaa mazingira ya kuipokea tu hiyo zawadi.[emoji309] [emoji320]
Ila ingenoga zaidi kama ningeona ka picha kako mkuu ili niweze kukuandalia zawadi nzuri na inayokufaa na inayokuenea vizuri.....
Thanks alot!Nimezipokea hongera zako ahsante [emoji120] [emoji120] [emoji120].
Nadhani wote wawili kila mmoja.kwa nafasi yake anastahili pongezi. [emoji124] [emoji124]
Tehteh.....zawadi ninayo mkuu emmyta.Hivi best una zawadi kweli mbona masharti kibao. [emoji2] [emoji2]
Basi usihangaike nitaifuata mwenyewe huko huko. [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Ahsante sana nashukuru.Thanks alot!
Happy Birthday Emmy.
Hahaaa. Huenda nikawa ni jirani yako. [emoji23] [emoji23]Tehteh.....zawadi ninayo mkuu emmyta.
Ila jinsi ya kuipata wewe ndo nawaza aiseee!!
Au upo nilipo huku mimi maana hii ni jamiiforums ujue.
Kwa kweli yaweza kuwa.....Hahaaa. Huenda nikawa ni jirani yako. [emoji23] [emoji23]
Mi hata sijui nipo wapi. [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Kwa kweli yaweza kuwa.....
Nipo mwanza