Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Yaani aliila ikaisha hakuniachia hata kidogo, na bado akaniagiza nikiwa narudi nyumbani nimletee keki nyingine!! Kwahiyo huyu hata umuandalie ya kilo mia bado atadai tu!![emoji23] [emoji23] [emoji23] Tatizo simu haikuwa na chaji hivyo nikaona kwa espy ndio karibu.
Pole dada ake. Nitakuandalia nyingine maalum kwa ajili yako. [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Nimeamini my dear. [emoji2] [emoji2]
Ila nitamuandalia ya peke yake. [emoji23] [emoji23]