Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Nami nitatuma na simba mkubwa.Mie nazaliwa jumapili, ununue keki utume kwenye Simba mtoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nami nitatuma na simba mkubwa.Mie nazaliwa jumapili, ununue keki utume kwenye Simba mtoto
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mmmmh!! Usije ukawa kama mwanangu ye akiamua tu analilia birth day party maana hata ukimuelewesha maana ya b.day haelewi.
Ni kweli ni b.day yako au nawe umeamua tu?
anayo yeyeEti keki unayo wewe apo na Shunie
HahahaMmmmh!! Usije ukawa kama mwanangu ye akiamua tu analilia birth day party maana hata ukimuelewesha maana ya b.day haelewi.
Ni kweli ni b.day yako au nawe umeamua tu?
[emoji57] [emoji57]Jamani dada ake yamekuwa hayo. Lol [emoji124] [emoji124]
Kweli vilekweliiii [emoji134] [emoji134] si nitakufwa mimi nisipoonja
sawa shangazi ila mahari nilikula mwenyeweHivi huyo mkwe mbona humleti nyumbani? Hizi ndoa zenu za kidijitali balaa kweli. Mkija mje na fine shangazi.
[emoji2] [emoji2]Nami nitatuma na simba mkubwa.
Hivi keki ifike kwa shunie alafu ikae masaa hata mawili kweli!! Hiyo itakuwa sio keki labda bumunda.Eti keki unayo wewe apo na Shunie
We haya tuuhe he amani ya moyo
Ungenipa boga langucake ipiii emmyta kala boga ndio kafanya cake
Happy born day DadaAhsante nashukuru. Picha Itafuata baadae [emoji2]
Shangazi mungu gani unamuongelea hapo? Hivi bado anaombaga kuombewa au mapepo yaliisha!!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aliletwa na Mungu
Nenda sasanaenda kwa lee wangu
Oooh!! Hili angalau linatamkika vizuri "mkwe kivuruge"Muite Kivuruge
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji125] [emoji125]Hivi keki ifike kwa shunie alafu ikae masaa hata mawili kweli!! Hiyo itakuwa sio keki labda bumunda.
me boga silagi ndio mana niliwaachiaUngenipa boga langu
Hayo manemo mengi sana shangazi, nishapewa moja zuri kabisa na sakayo.muite mume wa shunie bas shangazi mbona hivi lakini
HahahaOooh!! Hili angalau linatamkika vizuri "mkwe kivuruge"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] haombi tena kuombewa naona mapepo yaliishaShangazi mungu gani unamuongelea hapo? Hivi bado anaombaga kuombewa au mapepo yaliisha!!!!