Happy birthday to Jr


Dah, shemeji naona umeamua unipeleke kanisani kabisa.

Naomba tu tusifikie muda wa sadaka.
 
Dah, shemeji naona umeamua unipeleke kanisani kabisa.

Naomba tu tusifikie muda wa sadaka.
kama una sadaka au zaka nitakupa namba zangu za simu utume, ukituma kwangu hakika itakuwa imepaa na kupokelewa kwa baba juu mbinguni😀😀😀😀
 
Baraka tele ziwe juu yako na familia yako daima muamini na kumshukuru Mungu aliyekupa uhai
 
Heri ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwako Jr, Mungu akupe miaka mingiiiiiii kweli kweli, tumezaliwa mwezi mmoja sema ww ukawahi sijui sababu ya kuroga
 
Heri ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwako Jr, Mungu akupe miaka mingiiiiiii kweli kweli, tumezaliwa mwezi mmoja sema ww ukawahi sijui sababu ya kuroga
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Heri ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwako Jr, Mungu akupe miaka mingiiiiiii kweli kweli, tumezaliwa mwezi mmoja sema ww ukawahi sijui sababu ya kuroga
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Heri ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwako Jr, Mungu akupe miaka mingiiiiiii kweli kweli, tumezaliwa mwezi mmoja sema ww ukawahi sijui sababu ya kuroga
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
HBD Mtoto mpya,
Live long Chief,
Na jina jipya nakupa kuanzia leo utaitwa
Sir Mshana
 
HBD Mtoto mpya,
Live long Chief,
Na jina jipya nakupa kuanzia leo utaitwa
Sir Mshana
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji23] [emoji106] [emoji115]
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…