Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitumie basi my friend š
Mi nishatoka huko, nipo level nyengine waambie vijana ambao bado wanakuwa mimi nishakuwa jitu zima!Kila wikend tafuta mdada awe anakuja kukufulia na kufanya usafi, utanishukuru.
hapana sina tabia hiyo ila hiyo ni mbinu ya kupata ke kiulaini kabisa.Ndicho unacho wafanyia una wanyanyasa kisa masikini sio?
Sawaaaa Hapibasidei broHuna mada yoyote unayonizidi kwa hoja
Oa uwe na familiaMi nishatoka huko, nipo level nyengine waambie vijana ambao bado wanakuwa mimi nishakuwa jitu zima!
Haha! heri ukaja kwangu miaka 20 utatoka na ka bend shauli yako..šAcha ukorofi
Ukishatumia mbinu teyari una tumia udhaifu wake umemuita kuja kufanya usafi akimaliza tu hana haja ya kukaa kuangalia tv mpe pesa yake asepehapana sina tabia hiyo ila hiyo ni mbinu ya kupata ke kiulaini kabisa.
Ebu muulize je ni mzima huko down my dearEeeeeh ,,, without sex happy birthday.
Inasikitisha mkuu.duh! mkuu watu mmefikia hatua mbaya sana!
Sawa tajiriUkishatumia mbinu teyari una tumia udhaifu wake umemuita kuja kufanya usafi akimaliza tu hana haja ya kukaa kuangalia tv mpe pesa yake asepe
Kila la heri fanya uwahi maana naona ana sifa zote za mke wangu mtarajiwa.ndo namchumbia Joanah ili nimuoe ..š
Fanyeni ivyo sio vzr huwa naumiaga sana nikiona mtu anatumia udhaifu wa mtu mimi siitagi dada wa usafiSawa tajiri
unatafuta kurogwa!Kila la heri fanya uwahi maana naona ana sifa zote za mke wangu mtarajiwa.
Njoo ghetto
hahaha wasamehewe bureBaba na mama tuwachape