Happy birthday to me Da'Vinci..

Nimeshangaa kumbe ni mtoto wa juzi tu
Hayo ndio miongoni mwa mambo mazuri yaliyomo JF, kuna wajukuu, watoto, makaka, madada, wamama, wababa, mabibi na mababu, ni mchanganyiko wa kupendeza wenye kuleta ladha tofauti ya mawazo na fikra katika michango na nyuzi
 
hahaha ila si kakwambia ukweli mchungu, rafiki zangu mm yani hata hayo aliyosema Humble African yanaunafuu
Wanaume tuna mambo ya ajabu sana. nina rafki Hatujawah salimiana kawaida. ni wee msengee, wee mbwaa, wee faraa wee Boya mambo vipi. mambo niajee wee pakaa. hafu mchizi wanguu kinyama yaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…