Ameanza shule akiwa na miaka 3, ongeza 5 napata 8.Nikusaidie kiduchu mimi ni mama wa watoi wawili. Wa kwanza yupo darasa la tano. Do the calculation [emoji23][emoji23][emoji23]
Ahsante kwa huo muongozo wa kukutumbuaKuna thired ya Daby kama sikosei sikumbuki ilihusu nini ndo nilijipambanua kaitafute [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila unatabia za wanaume wa Dar...acha mambo hayo ya kulisha wanaume wenzio kekiMm mwanaume kutoka kanda ya ziwa
Aagh, umejitahidi kidogo lkn bado umenipunja. Kama ni mtihani una 55 marksAmeanza shule akiwa na miaka 3, ongeza 5 napata 8.
Umempata baada ya mwaka 1 wa ndoa, ndoa ina miaka 9.
Umeolewa ukiwa na miaka 25, ongeza 9 napata 34.
Umri wako ni miaka 34.
Bado mbichi hivyo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kubali tu kuniamkia basiAhsante kwa huo muongozo wa kukutumbua
Mtoto chekechea kaanza akiwa na miaka 3, la kwanza akiwa na miaka 5, ongeza 5 napata 10.Aagh, umejitahidi kidogo lkn bado umenipunja. Kama ni mtihani una 55 marks
Japo ni kweli nastahili kukuamkia ila ukweli nautafuta kwanzaKubali tu kuniamkia basi
Hahahahaa chemsha bongo hiiMtoto chekechea kaanza akiwa na miaka 3, la kwanza akiwa na miaka 5, ongeza 5 napata 10.
Umempata mtoto baada ya mwaka 1 wa ndoa, ongeza 10 napata 11.
Umeolewa ukiwa na miaka 25, ongeza 11 napata 36.
Una miaka 36.
Hata ubishe hauzidi hapa.
Mimi ni mhenga shauri yako. Kesho ntakuwekea passport yangu uoneJapo ni kweli nastahili kukuamkia ila ukweli nautafuta kwanza
Una miaka 35.Hahahahaa chemsha bongo hii
Kweli alianza vidudu akiwa 3, hakuanza lakwanza, alirushwa direct std 2, Ana 9yrs
Kweli niliolewa na 25yrs [emoji23][emoji23][emoji23]
Umepatia kidogo tu
Nipe shikamoo yangu kwanzaUna miaka 35.
Nakomea hapa na ndio jibu sahihi.
Unaweza ukawa muhenga ila picha ikaonesha bado mdogo.Mimi ni mhenga shauri yako. Kesho ntakuwekea passport yangu uone
Nitakupa inbox hapa mafisi wengi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nipe shikamoo yangu kwanza
Unanifahamu nini? [emoji23]Unaweza ukawa muhenga ila picha ikaonesha bado mdogo.
cc Zari
Hapana, nimetoa mfano tu huoUnanifahamu nini? [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya bana, usiku mwemaNitakupa inbox hapa mafisi wengi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Shikamoo kipenzi[emoji16]Nipe shikamoo yangu kwanza