Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,092
- 9,063
Nimeshtuka maana picha yangu na umri haviendaniHapana, nimetoa mfano tu huo
Na wewe pia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya bana, usiku mwema
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nimeshtuka maana picha yangu na umri haviendani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shikamoo kipenzi[emoji16]
Mwifwa unanyemelea nini hapo mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
NashukuruNa wewe pia
Mwifwa ananyemelea nawe wazidi kumvunja moyo[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwifwa amenianika juani leo [emoji23][emoji23]Mwifwa ananyemelea nawe wazidi kumvunja moyo[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Hapana mkuu.Mwifwa unanyemelea nini hapo mkuu
Jf kichaka mkuu usiamini uambiwaloo, humu fix hatarii[emoji16] [emoji16] [emoji16]Hapana mkuu.
Tulikuwa tunabishana, yeye anasema ni bibi mimi nikawa nakataa, ndio nikamwambia nitakuumbua kwa kufukua makaburi, nimejaribu nikakosa vyanzo vya uhakika vya makaburi ndio yeye akanimegea case nikaanza kukalkuleti mwenyewe, hatimaye ameingia kingi kwa asilimia karibu zote
Nilisahau wadogo zako wana 26 wewe bado una 22 tu😉..Niulize hili swali Pm hapa huwez jibiwa
dah mkuu daaah yaan nmekumindAhahaha!! Huyu dogo ni mwanangu sana hadi nimemfollow sema sometimes anakuwaga na akili za mazuzu kama Baba Swalehe, mwezi ukiwa nchanga. [emoji23] [emoji23]
[emoji23] huyu jamaa daah[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
baba swalehe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] huyu jamaa daah
nmepewa taarifa yule jamaa wa tcra ni user humu mods walimpiga ban akapata hasira et bora wte tuikose .... huyu mshikaji humble africa kuanzia kesho atanijua[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mbona sikuelewi mkuu, waweza kufunguka vizuri nikuelewe?nmepewa taarifa yule jamaa wa tcra ni user humu mods walimpiga ban akapata hasira et bora wte tuikose .... huyu mshikaji humble africa kuanzia kesho atanijua
sory mkuu humble african hakukosea hata mi sielewi ..[emoji2]Mbona sikuelewi mkuu, waweza kufunguka vizuri nikuelewe?