Happy birthday to me Da'Vinci..

Shikamoo kipenzi[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwifwa ananyemelea nawe wazidi kumvunja moyo[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Mwifwa unanyemelea nini hapo mkuu
Hapana mkuu.

Tulikuwa tunabishana, yeye anasema ni bibi mimi nikawa nakataa, ndio nikamwambia nitakuumbua kwa kufukua makaburi, nimejaribu nikakosa vyanzo vya uhakika vya makaburi ndio yeye akanimegea case nikaanza kukalkuleti mwenyewe, hatimaye ameingia kingi kwa asilimia karibu zote
 
Jf kichaka mkuu usiamini uambiwaloo, humu fix hatarii[emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
nmepewa taarifa yule jamaa wa tcra ni user humu mods walimpiga ban akapata hasira et bora wte tuikose .... huyu mshikaji humble africa kuanzia kesho atanijua
Mbona sikuelewi mkuu, waweza kufunguka vizuri nikuelewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…