Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tukae mkao wa kulaYa mazuzu na Under 20 itakua tofauti. ya mazuzu katibu wake ni baba swalehe
HahahaNawewe unakuja leo au kesho. Nakuandalia pmpas dadae
Thanks broo Ila kitendawili cha kifo daah kinanitisha aiseeTulia dogo unataka ardhi isipate rutuba kutoka mwilini mwako..kuna funza na minyoo kibao wanakusubiri wanataka wachukue madini fasta mwilini mwako wasambaze ardhini dunia yetu ipate rutuba kizazi kijacho kisipate tabu ya ukame na njaa.
Usiwe selfish dogo..tufe mapema kwa ajili ya kizazi kijacho.
Yaani watu tunampenda Mungu ila hatutaki kuonana nae fortunately njia ya kuonana nae ni kudedi tu.
Happy bdei bhana dogo uishi miaka 100. Nimebatilisha nakuombea long life.
Soon we'll see each other broThanks braaav long time no see you
hahaha this is how bestfriends wishes....safi sana, umenifurahisha sana Humble African.Tulia dogo unataka ardhi isipate rutuba kutoka mwilini mwako..kuna funza na minyoo kibao wanakusubiri wanataka wachukue madini fasta mwilini mwako wasambaze ardhini dunia yetu ipate rutuba kizazi kijacho kisipate tabu ya ukame na njaa.
Usiwe selfish dogo..tufe mapema kwa ajili ya kizazi kijacho.
Yaani watu tunampenda Mungu ila hatutaki kuonana nae fortunately njia ya kuonana nae ni kudedi tu.
Happy bdei bhana dogo uishi miaka 100. Nimebatilisha nakuombea long life.
Mbona washangaa na mwaka beingsingle?Duh, 199.?
Haya heri ya kuzaliwa mwaya