Happy birthday to me Da'Vinci..

Happy birthday to me Da'Vinci..

Tulia dogo unataka ardhi isipate rutuba kutoka mwilini mwako..kuna funza na minyoo kibao wanakusubiri wanataka wachukue madini fasta mwilini mwako wasambaze ardhini dunia yetu ipate rutuba kizazi kijacho kisipate tabu ya ukame na njaa.

Usiwe selfish dogo..tufe mapema kwa ajili ya kizazi kijacho.

Yaani watu tunampenda Mungu ila hatutaki kuonana nae fortunately njia ya kuonana nae ni kudedi tu.

Happy bdei bhana dogo uishi miaka 100. Nimebatilisha nakuombea long life.
Thanks broo Ila kitendawili cha kifo daah kinanitisha aisee
 
Tulia dogo unataka ardhi isipate rutuba kutoka mwilini mwako..kuna funza na minyoo kibao wanakusubiri wanataka wachukue madini fasta mwilini mwako wasambaze ardhini dunia yetu ipate rutuba kizazi kijacho kisipate tabu ya ukame na njaa.

Usiwe selfish dogo..tufe mapema kwa ajili ya kizazi kijacho.

Yaani watu tunampenda Mungu ila hatutaki kuonana nae fortunately njia ya kuonana nae ni kudedi tu.

Happy bdei bhana dogo uishi miaka 100. Nimebatilisha nakuombea long life.
hahaha this is how bestfriends wishes....safi sana, umenifurahisha sana Humble African.

Happy new age Da'vinci
 
Back
Top Bottom