Happy birthday to me , mr. Colin morgan

colin_morgan

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
2,443
Reaction score
2,912
Nitangulize salam kwa ndugu , kaka na dada zangu wa jf

Kwa hakika leo ni sku ya furaha kwangu si tu kwamba ni kumbukumbu ya siku yangu ya kuzaliwa bali ni kwamba nimetimiza malengo yangu ambayo nilijipangia mwaka , tarehe na mda huu kua niwe tayar nimeshayatimiza

Najua ndugu zangu hali ya maisha ni mbovu sana for majority ya watu hapa bongo na changamoto lukuki za kimaisha ila leo nataka tufrahike wote hapa jf

Hivyo mtu ajiskie huru ktk huu uzi yaani sema vile unavyojiskia juu yangu hata kma nilikuudhi one day ktk commet unaweza kutupia lawama zako au kuuliza swali lolote


Nimalizie na some few motivation quotes ili tuiimarishe our positive attitude

We only live once but if u spend well ur time , once is enough

Everything happen in our life for a reason , stop trying to change ur past

No body is perfect in this world and don't ever pretend to be
We make mistake once , twice or thrice what matter the most is to learn through experience to do it better next time

Nisiwachoshe sna ndugu niseme

Happybirthday to me ....

Cheeeeaarsssss
 
[emoji324] Happy Birthday!
[emoji91] [emoji91] [emoji91]
[emoji738] [emoji738] [emoji738]
[emoji738] [emoji738] [emoji738]
[emoji513][emoji513][emoji513][emoji513][emoji513][emoji513][emoji513][emoji513]
[emoji513][emoji513][emoji513][emoji513][emoji513][emoji513][emoji513][emoji513]
[emoji513][emoji513][emoji513][emoji513][emoji513][emoji513][emoji513][emoji513]
[emoji513][emoji513][emoji513][emoji513][emoji513][emoji513][emoji513][emoji513]
[emoji146][emoji146][emoji146][emoji146][emoji146][emoji146][emoji146][emoji146]
 
Happy birthday brother...
Ww ni moja ya watu wasio na makuu humu Jf. Nakumbuka uliwahi nisaidia kitu kipindi sijabadiri hii ID. Be bessed ma bro Merlin
 
Thanks , mrs mshana
 
Happy birthday brother...
Ww ni moja ya watu wasio na makuu humu Jf. Nakumbuka uliwahi nisaidia kitu kipindi sijabadiri hii ID. Be bessed ma bro Merlin
Thanks mkuu , ila ningependa kujua nilikuseidia kitu gan japo pm
Tafadhal mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…