Happy birthday to me: Nawashukuru wanaJF nawatakia heri ya Christmass na mwaka mpya.

Happy birthday to me: Nawashukuru wanaJF nawatakia heri ya Christmass na mwaka mpya.

Happy birthday to you likandambwasada Hilo jina km mzizi lol

Tunakupenda pia eeh baba
 
unnamed-6.gif
 
Tarehe kama ya leo miaka 27 iliyopita kwa mapenzi ya Mungu nililetwa hapa duniani.

Pamoja na mambo mengine, namshukuru Mungu kwa kuendelea kunipa afya njema na kuhimili changamoto mbalimbali.

Ninaamini marafiki wa JF ni sehemu ya furaha yangu katika ulimwengu.

Kipekee nitawataja baadhi ya members naowakumbuka kwa majina
Maxence Melo (JF founder, bigup bro)
emmyta
Shunie Daby Joseverest (first reply)
Sky Eclat (doctor)
GuDume (ila acha ubwege)
MBITIYAZA
kapeace
mahondaw
BAK (mzee wa upinzani)
ONTARIO (tumia fursa)
Moderator (punguza ukali)

Na wengineo wengi nawatakia sikukuu njema.

Kwa niliowakwaza, kumradhi, Mawazo hayafanani hata vikombe hugongana.
Happy Bornday mkuu
 
Back
Top Bottom