Happy Birthday to Me! OMG!!!ODM anazidi kulisogelea kaburi...

Mama yangu hawezi kua na wakwe kama hao, namaanisha sitaki mchumba, kwa hilo mnisamehe wana famili. Siwatambui wote, na wachape lapa, nitaishi ivi ivi. Kwaiyo ulila la Asprin?
akija atakwambia!
hivi umeongea na mama yako kuhusu wachumba zako?!?!?
 
Last edited by a moderator:
Heri ya kumbukumbu yako ya kuzaliwa...Mungu akume maisha marefu yenye baraka tele.
 
Hapi besdei..Mungu akupe maisha marefu yenye baraka tele.
 
Kweli nimefulia! Hii party mmefanya bila kunialika?
Haya ushakula mvua ngapi na wewe? Mungu akusaidie hiv ikipishana na wewe gizani isikuone wala kukutambua.
 
HBD ODM..!! Ila hicho pikya hapo khaaa!!! anataka kuondoka na saburi la mwenzie..!!!?
:confused2::confused2::confused2:

Am happy kwa siku ya leo, hata kama sitakutia machoni,nitakunywa kwa niaba yako! Luv u more!
Your happiness is my breath. Love you too darling.... Please usife kabla yangu!:A S 100:

Happy Birthday Asprin,nakupenda sana mpenzi.
Oh laaziz kupendwa na wewe ni baraka kama ya cacico kumpigia kura Riziwani Jakaya. Senkyuuuu!!

Babu Asprin unaona haya maneno¿ je yana ukweli wowote????
Mimi na wewe ni kitu kimoja charminglady, kuna haja ya kugombana?:mwaaah::mwaaah::mwaaah:

geza geza! Hubby wabunie ya kwao, wanadesa mpaka midomo yetu!
Eti wifey waeza kumwigiza kuku kutaga kabla hajajifungua?

he he he he he !afanalek wallahi, kweli usimuamini mtu, hata kivuli chako kikimbie! Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hubby Asprin kuja pande hii!
.....heheheheh wifey bana..... KUFA HAKUNA BREKI!!!:shut-mouth::shut-mouth:

cacico BADILI TABIA na Yummy nani mwenye zamu leo?
Mkuu Asprin many happy returns mkuu.
Mkuu senkyuuu...... SALUTE!!! Pamoja saaaaana!

Makubya..........Happy Bithday lakini kumbe nimezaliwa mwezi moja na nguli la kutuliza maumivu, hata tarehe nazo hazipishani sana......Happy birthday sana ODM
Senkyuu veri machi. Kumbe nawe ni wa Aquarius? Karibu kwenye ufalme wetu na Preta. Utafiti umethibitisha wooote waliozaliwa January wataurithi ufalme wa mbinguni..... Wabarikiwe wababa waliowalala wamama zetu Mei Mosi, yaani I meam wamefanya KAZI mwezi wa Wafanyakazi! NDOA na iheshimiwe na watu wote.

Hapy bday babi odm a.k.a Asprin mungu akujalie kheri na baraka tele wamtumainio mungu hata wakifa bado wanaishi ,una miaka mingi sana yakuishi duniani .vipi hapo inauzwa mbege
Amina nivea. Amina mama! Naam, mbege hapa unaichuka kwa ATM machine.

Thanks!
 
Last edited by a moderator:
Hapy bday babi odm a.k.a Asprin mungu akujalie kheri na baraka tele wamtumainio mungu hata wakifa bado wanaishi ,una miaka mingi sana yakuishi duniani .vipi hapo inauzwa mbege
Eti nivea hapo kwa red ulimaanisha baby eh? Senkyu very much my baby nivea! ODM luvs you too.

enjoy you day na hii hapa Asprin

Oh my dear mshiki..... Am humbled! Asante sana mai dia mdada....Be blessed as always!


Babu ODM naona leo watu wanatangaza nia...naona haya ndio matunda ya kaguzi zako...
Shhhiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!! wivu siyo dawa kiongozi.....! Naomba mwongozo wako mheshimiwa:becky::becky::becky:

Happy birthday..
Thanks, Pal.

A prayer 2 bless ur way,
A wish 2 lighten ur moments
A cheer 2 perfect ur day
HAPPY BIRTH DAY MKUU
Hakika jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la msingi, tena la pembeni......

hahahaha babu unazeeka na Medeni?? haiwezekani sema wajukuu wakulipie au ulikopa ileeeeeee........naniliu !!!!!
Hapo ndipo unapokosea..... ng'ombe hazeeki maini.

Asprin nimechekaaa balaa hii birthday wish iko unique sana.

Haya mola akujalie miaka mingi zaidi .. Uongeze na picha nyingine lol

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Eti neggirl unajua kuwa nakupenda? Nifanyeje ili uniamini???

Happy B.day mzee mwenzangu.
Amina mzee mwenzangu...... Kwenye White Party nahisi utakuwa MC wetu. Nimefurahi kukufahamu....:majani7::majani7:

watu8 shem, napenda Ukaguzi wa ODM,
Yani hadi nalala.
Mambo mengine si ya kusema hadharani. Utaniletea foleni ujue..... Nakupenda pia, nakutaka pia.

nipo shost nakulindia huo mzigo maana Asprin hakawii kuwaongezea independent kha
Sasa hapa ndipo unapoanza kuharibu. Hivi ukoje?

Mkuu kuzifuata nyayo za huyu babu inahitaji kujipanga maana mwisho wa siku unaweza tafuna ripoti ya ukaguzi....
Hivi we mchumia juani, mbona unapenda kunitilia sukari kwenye mboga?.........Shiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!

Happy birthday Babu Mkaguzi Mkuu.
Ahsante bi mkataa kukaguliwa Ennie, hivi mpenzi nisipokukagua utaolewa na nani? Unaipoteza bahati yako mchana kweupe? Watakucheka watu......:becky::becky::becky:

mzima mamito??? unajua nakutegemea White Party utokelezee, please usiniangushe mzee mwenzio kama nivea...
:confused2::confused2::confused2::confused2:

yaani yangu ile around the corner

haapy besidei babuuu Asprin AND MISSED YOU ALOT......:A S 11:
Niko na karama kuu kupendwa na Rich woman, OMG will you marry me? Tugawane haka kaumaskini mama tajiri. Huta regreti, huna cha kupoteza. Utu uzima dawa!.....LOL

Happy birthday babu Asprin nimekutafutia kijana atakaye kusaidia kwenye ukaguzi!
Ahsante mkuu Ruttashobolwa.... Oh boy.... be at your age, mimi kweli napaswa kutafutiwa kijana wa kunisadia ukaguzi? At this ujana eji? God Forbid!.....:madgrin::madgrin::madgrin:

Happy birthday to you mu super buziiii uje ule tuna lako ulipndalo nimekkuandalia
We amu amu amu ..... tuna nini mimi na wewe? Hivi unajua mama yangu ni mwanamke kama wewe? Mtoto wa mwanamke mwenzio ni mwanao...MPENDE!!

Happy birthday Asprin
OMG!!!! Thanks YNNAH.... I think:A S 100: am in love with you....

Uuuwii... Mbona sikuona haya malove mapema? Filipo kweli ? Love you too darling..mwaaaaaaaa
Mods please delete this bulshit post..... I hate it!

Happy Birthday Asprin .. We still have unfinished business.... see you on 26th....... (Macho ya Asprin tu ndio yasome hapa)
Well well well......... Now you are talking..... bebs, hivi wajua inbox yangu kwa PM nimebakiza nafasi yako tu? Please do the needful before I Rest In Peace..... Endelea kumpenda Filipo, lakini please endelea kuishi na moyo wangu. Nimekukabidhi wote uutumie utakavyo..... (MIJITU YENYE WIVU IMEMAINDIJE SASA?)

Huyu babu leo kazi anayo...mbona mwamkomaza hivyoooo!!!

Labeka manoah, umeniita?

kalala!! embu muache!!!
Thats my girl!! Amekuelewa?

umesahau kuishukuru asprini ka jina lako lilikupa ahueni pale uliposhikwa na maleria
Niko huku martenity Ward, waeza kuja kunisaidia kutuliza maumivu ya hawa kina mama walotoka kujifungua??:becky::becky::becky::becky::becky:
 
Last edited by a moderator:
happy belated birthday Asprin
Shukrani sana mkuu Don Mangi..... Am humbled!!😛op2:

Hapi besdei..Mungu akupe maisha marefu yenye baraka tele.
Oh...Thats so kind of you mimisa... Thank you....:cheer2:

Happy Birthday ODM

NAkutakia maisha mareeefu kama waya wa grid ya tanesko

Afu kwa nini hukunibip nije kukata keki?
Yani we ndo umechelewa kuniwish namna hii? Nimesusa mpaka unibusu.:shut-mouth:

happy birthday Asprin my hubby.....

Hongera kwa kupunguza siku zako za kuishi.....
Oh...Thank you honey.... Ila nimekasirika. nadhani unajua kwaninini. Tubu kisirisiri charminglady asikusikie.......:A S 100::A S 100:
 
Last edited by a moderator:
Paloma ujue mimi ni shangazi yako lakini,
mizimu ikichukia shauri zako.

Mimi niko poa kabisa pia nina furaha ya kutosha kabisa,
karibu chai hapa kijiweni kwetu.

ulilala salama my dear Mamndenyi?!?! mie mzima kabisa nakuhofia wewe...nahisi hukulala kwa mawazo!! na pia labda presha imepanda!! ila niliyoyakuta huko.......sidhani kama ntaweza kuyaacha!!! Nisamehe sana!!
cc: Vin Diesel
 
Last edited by a moderator:
Dah kweli nimeamini January kids are great pipo...!

Happy belated birthday wishes babu Asprin..nidai Castle lite kadhaa babu.:majani7:
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…