Happy birthday to me Trudie

Happy birthday to me Trudie

@Intelligent businessman nasubiri muamala wa keki na lunch hadi dinner on you
emoji3.png
Akichelewa kutuma nitatuma Mimi
 
Yangu Dec uko mzee mwenzangu Mungu azidi kitupa uhai [emoji847] kwahiyo utaileta kutoka Dubai
Nyie mna raha sana, yaani unazaliwa mwezi mmoja na Yesu Kristo 👏👏

Of course, itatoka Dubai. DHL watakuletea hadi uwanjani 🤪
 
Ili wakati mwingine tusipate shida ya kuwasumbua watu wa DHL na Posta kutuma vifurushi vya zawadi, kuna haja uwekage namba ya Halopesa kusindikiza Birthday yako [emoji2957]

Happy birthday trudie
Thank you alot ubarikiwe, namba inakuja nijipatie kifurushi changu[emoji3059][emoji3059]
 
Nyie mna raha sana, yaani unazaliwa mwezi mmoja na Yesu Kristo [emoji122][emoji122]

Of course, itatoka Dubai. DHL watakuletea hadi uwanjani [emoji2957]
Hahahhah nipo nasubiri kwa hamu [emoji847] kiukweli tuna raha tuliozaliwa Dec
 
Hahahhah nipo nasubiri kwa hamu [emoji847] kiukweli tuna raha tuliozaliwa Dec
Itakulazimu uwaalike majirani zako wote kuimaliza hiyo keki, maana nimeagiza kulingana na urefu wako, imagine ulivyo tolu vile 🤪🏃🏃
 
Back
Top Bottom