mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Hongera sana trudie Mimi na Intelligent businessman tunajichanga hapa tukupe kazawadi😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana mkuu, nimekaa standby hapa nasubiri zawadi kwa hamuHongera sana trudie Mimi na Intelligent businessman tunajichanga hapa tukupe kazawadi[emoji23]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kuna mambo unatakiwa unipe pole.
IDs zote zipo kazini leo?🤔🤔😁Dah umeandika kwa uchungu sana 🤔
Unaniangusha mzee mwenzangu nenda pm omba no tuma muamalaIli wakati mwingine tusipate shida ya kuwasumbua watu wa DHL na Posta kutuma vifurushi vya zawadi, kuna haja uwekage namba ya Halopesa kusindikiza Birthday yako [emoji2957]
Happy birthday trudie
Sitaki kupigwa mawe na Chizi Maarifa maana nimehamia nyumba yenye vioo 🤪Unaniangusha mzee mwenzangu nenda pm omba no tuma muamala
Akichelewa kutuma nitatuma Mimi@Intelligent businessman nasubiri muamala wa keki na lunch hadi dinner on you![]()
Yangu Dec uko mzee mwenzangu Mungu azidi kitupa uhai [emoji847] kwahiyo utaileta kutoka DubaiSitaki kupigwa mawe na Chizi Maarifa maana nimehamia nyumba yenye vioo [emoji2957]
Nasubiria yako Mzee mwenzangu, this time Keki itatoka Dubai [emoji847][emoji125][emoji125]
Nyie mna raha sana, yaani unazaliwa mwezi mmoja na Yesu Kristo 👏👏Yangu Dec uko mzee mwenzangu Mungu azidi kitupa uhai [emoji847] kwahiyo utaileta kutoka Dubai
Thank you alot ubarikiwe, namba inakuja nijipatie kifurushi changu[emoji3059][emoji3059]Ili wakati mwingine tusipate shida ya kuwasumbua watu wa DHL na Posta kutuma vifurushi vya zawadi, kuna haja uwekage namba ya Halopesa kusindikiza Birthday yako [emoji2957]
Happy birthday trudie
Kashanichelwesha hapa nasubiri dinner tuu sijui kaenda wapi Intelligent businessmanAkichelewa kutuma nitatuma Mimi
🤣🤣🤣🤣Sitaki kupigwa mawe na Chizi Maarifa maana nimehamia nyumba yenye vioo 🤪
Nasubiria yako Mzee mwenzangu, this time Keki itatoka Dubai 🤗🏃🏃
Amen 🙏Thank you alot ubarikiwe, namba inakuja nijipatie kifurushi changu[emoji3059][emoji3059]
😅😅😅🤣🤣🤣🤣
Hahahhah nipo nasubiri kwa hamu [emoji847] kiukweli tuna raha tuliozaliwa DecNyie mna raha sana, yaani unazaliwa mwezi mmoja na Yesu Kristo [emoji122][emoji122]
Of course, itatoka Dubai. DHL watakuletea hadi uwanjani [emoji2957]
Itakulazimu uwaalike majirani zako wote kuimaliza hiyo keki, maana nimeagiza kulingana na urefu wako, imagine ulivyo tolu vile 🤪🏃🏃Hahahhah nipo nasubiri kwa hamu [emoji847] kiukweli tuna raha tuliozaliwa Dec