[emoji16][emoji44] umenifahamu??. Kweli wastahili pongeziii. Nikaribishe nije kula keki.Thanks so much QD
Karibu! Mie ilikuwa jumanne.Aahsante sana ma-pacha wangu. Wewe itakua liniπ
Nimeghairi maana nishamuona kumbe yupo na anafatilia mtiririko..πAs you wish pal
Mh weirdSijui....[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Shukrani π ndo tunaukimbilia utu uzima sasa. πHappy belated birthday Ma-pacha wangu.
OkayBasi itakua nimekosea asee...
Hahahaaa. Ndio ndio ππ yaani sisi wote tumezaliwa tarehe moja na mwezi mmoja.Watu mmeendelea hadi mnamapacha humuππ
Mpo vizuri