Her yakuzaliwa mkuuu.........Hey y'all...
Inachukua muda gani mpaka mtu uanze kupostiwa thread za happy birthday humu au ku๐๐๐ ๐ .
Anyway Namshukuru Mungu kwa rehema zake leo nimtimiza miaka 30. It was a long journey Kwakweli. View attachment 2256140
Jamani ningekua Arusha tungefanya kitu. Ila kwasasa niko Dar my dearAhsante sana my dear Valentine. Nasubiri Zawadi kutoka geneva sasa[emoji17]
Ooohhhpppsss itakua labda.
[emoji8][emoji8][emoji8]Aahsante sana code mistress