Happy birthday to Me....

Ni jambo la kumshukuru MUNGU kufikisha mwaka mwingine nikiwa mzima wa afya, niungane na wote waliozaliwa siku kama ya leo tutakiane heri ya siku ya kuzaliwa.
[emoji322] [emoji322] [emoji482] [emoji512] [emoji512]
..Dah...miaka inazidi kukatika tu..ulipanga kufanya nini na umekwisha fanya nini....πŸ™‚
 
Ni jambo la kumshukuru MUNGU kufikisha mwaka mwingine nikiwa mzima wa afya, niungane na wote waliozaliwa siku kama ya leo tutakiane heri ya siku ya kuzaliwa.
[emoji322] [emoji322] [emoji482] [emoji512] [emoji512]
 
hongera sana...mdgo wang..najua hum hakuna mtu kanizid umri so usije ni mind mi mkubwaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…