Happy Birthday to Me

EJM_

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
3,836
Reaction score
2,100
Kesho ni kumbukumbu ya kuzaliwa kwangu. Naamini nitakuwa nimeongezeka busara na hekima badala ya namba za umri na kukomaa kwa ngozi tu.

Sijajua nitamalizaje siku yangu ya kesho lakini lazima itaanzia ibadani.

Nawatakia kila la kheri kwenye sikukuu ya Noeli hapo kesho
 
Uongezeke kiumri na hekima
 
Amina mkuu
Pia uiheshimu hiyo siku maana umeunganishwa na Mutu muzito Emanuel japo sio siku yake halisi ya kuzaliwa...naweza sema ni siku maalum ya kujikumbusha jinsi alivyozaliwa....utulivu, upendo, hekima na uchaji wa Mungu uvipe kipaumbele siku hiii
 
Pia uiheshimu hiyo siku maana umeunganishwa na Mutu muzito Emanuel japo sio siku yake halisi ya kuzaliwa...naweza sema ni siku maalum ya kujikumbusha jinsi alivyozaliwa....utulivu, upendo, hekima na uchaji wa Mungu uvipe kipaumbele siku hiii
Kweli mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…