Ati nini!? Umeamua kupumzika pembeni, wewe? Tuliyekuwa tunakesha wote bar na kuamkia kuzimua wote?Tehteehhh......[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Umenichekesha sana amigo.....
Hivi ujui kwamba maisha na watu hubadilika ili kuishi maisha yenye unafuu kuliko jana eehhhhh.......
Nilisha amua kupumzika pembeni wallah
Hahaahaaa......[emoji481] [emoji481]Ati nini!? Umeamua kupumzika pembeni, wewe? Tuliyekuwa tunakesha wote bar na kuamkia kuzimua wote?
Basi....wacha niamini maneno ya jirani yangu kuwa awamu hii si mchezo hata shetani kaokoka [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Ewaaaa...hayo ndo maneno swahiba! Ila balimi na hii njaa niliyo nayo zitanigaragaza ujue, niagizie kabisa na supu ya kongoro [emoji39] [emoji39] [emoji39]Hahaahaaa......[emoji481] [emoji481]
Ebu pitia hapa makuti kwenye bar ya Mzee Siro, upige balimi mbili kabla haujaenda kupika....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Mkuu id yako ya zamani ni ipi?? Mkuu wanguNdo hivyo mkuu...nilihisi vyuma vinaweza kutufanya A na a tusizitambue.
Yap. Ni njema... Naanza kuzoea zoea....! Huu upya huuuYaah! Ndo mie jirani niaje aiseeee ? [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Njoo mkuuu....Happybirth day Samuel, niko njiani 2 tabata nitawasubili huko.
Ebu fanya ukuje....[emoji39] [emoji39]Ewaaaa...hayo ndo maneno swahiba! Ila balimi na hii njaa niliyo nayo zitanigaragaza ujue, niagizie kabisa na supu ya kongoro [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Ebu fanya ukuje....[emoji39] [emoji39]
Utazowea bwana jirani usijali.Yap. Ni njema... Naanza kuzoea zoea....! Huu upya huuu
Sawa jirani. Kwema. Nikitoka misa nakuja hapoUtazowea bwana jirani usijali.
Kwema lakini huko?
Hahaa. Karibu sana jirani.Sawa jirani. Kwema. Nikitoka misa nakuja hapo