Happy birthday to ME!

Happy birthday to ME!

Happy birthday to ME.Thanks almighty God for another year nazeeka sasa[emoji23] [emoji23] [emoji23] #humble#charming#philanthropist#gunnerhardfan#

NB:Wazee wa chupa tutakua tunakiwasha mida ya wanga 40-40 tabata
Happybirth day Samuel, niko njiani 2 tabata nitawasubili huko.
 
Hata Mimi sijui maana yake mkuu imeandikiwa tu na muhudumu wa hapa Bar.... tehteehhh
Huna lolote wewe sema tu kwamba hujaandika hicho kilugha cha ulaya kwa akili yako bali kwa akili ya pombe. Uko bia ya ngapi sasa hivi 'nikujoin'
 
Huna lolote wewe sema tu kwamba hujaandika hicho kilugha cha ulaya kwa akili yako bali kwa akili ya pombe. Uko bia ya ngapi sasa hivi 'nikujoin'
Tehteehhh......[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Umenichekesha sana amigo.....
Hivi ujui kwamba maisha na watu hubadilika ili kuishi maisha yenye unafuu kuliko jana eehhhhh.......
Nilisha amua kupumzika pembeni wallah
 
Back
Top Bottom