Happy birthday to me

Happy birthday to me

naona hata aibu kusema hapa daah

sikuona wallah pia ilichangia na ile sababu ya siku ileeeeeeee mpaka ukaja kule pm that day sijui unakumbuka vile??

ntaongeza doz ya kula karoti na mchicha nione vizuri mwakani inshaallah
Oooh. Itakuwa hivyo basi kwamba uliuona ukaupita ukishangaa huyu muandikiwa uzi katokea wapi. 😜😜😜😜

Nimeshakumbuka. Usijali Kaka. Tuombe uzima mwakani tena Insha Allah.
 
Japo nimechelewa kuja huku lakini kama ni treni basi nimedandia behewa la mwisho na mimi nipo safarini kwenye treni moja

Niungane na wana JF wengine katika kukutakia heri na fanaka katika siku yako hii ya kuzaliwa

Mungu Akuwepesishie majambo yako na Aridhie na ayape baraka matendo yako mema ya tangia jana leo na sikuzote

Happy Birthday Mkuu Nguvu Moja
 
Pacha pacha pacha pachaaa.

Nina kesi na weye ujue. 😂😂😂😂

Yaaaaani pacha wangu kipenzi nilijua tu ntakuwa na kesi mwaya.

Na hata sjui naijibuje pacha wng mie jmn.

Yaani najifikiria kuandaa majibu ya kesi hata sjui niijibuje mwaya.

Lol.
 
Back
Top Bottom