Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hahahaaa. Siwezi nuna Sesten.Ila kesho jioni majira ya saa kumi na mbili hakuna kununaππ
Labda weye. πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa. Siwezi nuna Sesten.Ila kesho jioni majira ya saa kumi na mbili hakuna kununaππ
Hahahaaa. Ndio utafute majibu Pacha sababu nikija na mlolongo wa kesi zangu sijui kama utachomoka.Yaaaaani pacha wangu kipenzi nilijua tu ntakuwa na kesi mwaya.
Na hata sjui naijibuje pacha wng mie jmn.
Yaani najifikiria kuandaa majibu ya kesi hata sjui niijibuje mwaya.
Lol.
Tusiandikie mate hali ya kua wino umejaa tele HajarHahahaaa. Siwezi nuna Sesten.
Labda weye. πππ
πππ kabisaaaa.
naona hata aibu kusema hapa daah
sikuona wallah pia ilichangia na ile sababu ya siku ileeeeeeee mpaka ukaja kule pm that day sijui unakumbuka vile??
ntaongeza doz ya kula karoti na mchicha nione vizuri mwakani inshaallah
πππOngeza nyingine basi ila iwe full [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Hahahaaa. Ndio utafute majibu Pacha sababu nikija na mlolongo wa kesi zangu sijui kama utachomoka.
Mzima lakini Pacha? Umeadimika.
AaaminHeri ya kuzaliwa Swahiba Allah azidi kukupa maisha marefu Insha Allah
Asante sana kakaBeira Boy: pamoja kijana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]πππ
Ahsante mpendwa carbamazepine:[emoji122] [emoji122]Happy bday nguvu
Ahsante kaka barikiwa mno Sesten Zakazaka:[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Japo nimechelewa kuja huku lakini kama ni treni basi nimedandia behewa la mwisho na mimi nipo safarini kwenye treni moja
Niungane na wana JF wengine katika kukutakia heri na fanaka katika siku yako hii ya kuzaliwa
Mungu Akuwepesishie majambo yako na Aridhie na ayape baraka matendo yako mema ya tangia jana leo na sikuzote
Happy Birthday Mkuu Nguvu Moja
Upo sahihi kabisa mkuuPole sana mkuu ndio ukubwa huo...
Kiume pesa
Aaamin mkuu, pamoja sanaAhsante kaka barikiwa mno Sesten Zakazaka:[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
hope umekaona kalike kangu
hope umekaona kalike kangu
june 7 mwakani ntampostia mimi inshaallah π
ππππ naona umekuwa mdoogo Pacha zaidi ya Piriton.Yaaaaani hata la kujibu thina mwaya.
Itabidi tu nikubali kesi na nilipe fine kwa kweli maana makosa yanaonekana wazi hata la kujitetea thina mwayego.
Yeah am good my lovely. Missing you sooo bad tu. More than the words can say mwaya.