Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
😩😩😩sio ndoa zote bestUkitaka kuharibu muulize utanioa lini
Btw sina mzuka na ndoa kabisa
Wenzangu walotangulia ndoani yanayowapata wananiambia bota usije huku binadamu wanabadilika..
Wanatamani watoke ila hawawezi
Ngoja niishie hapa ntaandika gazeti bure[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Happy Birthday Aggy,
Ushapata mpenzi au bado?
Hivi sio ufahari? Mbona mnatukatisha tamaa wenzenu kisa ninyi mmeshaonja[emoji3][emoji3][emoji3][emoji28][emoji28][emoji28]balaa sana...wanaona kuolewa ufaharii
Ukitaka kuharibu muulize utanioa lini
Btw sina mzuka na ndoa kabisa
Wenzangu walotangulia ndoani yanayowapata wananiambia bota usije huku binadamu wanabadilika..
Wanatamani watoke ila hawawezi
Ngoja niishie hapa ntaandika gazeti bure[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji30][emoji30][emoji30]sio ndoa zote best
Hivi sio ufahari? Mbona mnatukatisha tamaa wenzenu kisa ninyi mmeshaonja[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahahahaha....Ni kweli sio zote but majority
Kama yako sio tanuri nenda katoe sadaka ya kuteketezwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninong'oneze ya kwako,
Asante kwa hili..ila sijui litanikuta lipiUsijifunze kwa walioshindwa. Wewe ukiona mtu anafaa zama ndani utakayoyakuta huko ndio ya kwako
Sent using Jamii Forums mobile app
Lol,
Unacheka...wenzio sasa hivi wanapigwa..wengine wanauanahahahahahaha....
Unacheka...wenzio sasa hivi wanapigwa..wengine wanauana
Wengine asubuhi mpaka jioni unakimbizana na michepuko
Status za watsap anachamba tu hapo utaona alivovurugwa
Mi sina roho ngumu ya kubeba haya..siwezi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hehehe babe usinifanye nifosi besidei [emoji3][emoji3][emoji3] maana yenyewe iko mbali kishenziNinong'oneze ya kwako,
Nataka nikupe bonge moja la surprise,
[emoji4]
[emoji47][emoji47][emoji47][emoji47][emoji47]Lol,
Mzungu umeshanipata labda useme kingine.
Ohh sasa utamjuaje..ni kuomba Mungu tu[emoji23][emoji23]nakuambia sio wote...!kweli kbs...khaa wanaochambaga status whsap mie huwa nacheka sana. hhahahaha