Happy birthday to me!

We olewa tu, maisha ndo yalivyo kuishi na mwanaume ambaye anatabia zake na wewd unazo zako ni kuvumiliana, usiwe muoga
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Older than yesterday.... Younger than tomorrow.... Happy birthday to you mpendwa aggyjay

Jr[emoji769]
 
Kwanini nsimfuatilie sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume huwa tunataka kulinda wanaume wetu, kwa wanawake kero sana ukitaka kutoka home anataka ajue unaenda kwa nani na unarudi saa ngapi, au kama unamizunguko yako anataka ajue hata akisikia unaongea na simu anauliza nani huyo.
Imagine miaka ile hakuna simu za mkononi je wanandoa waliishije? Mbona walikuwa na utulivu zaidi kuliko leo, wanaume walikuwa wanachepuka na kurudi home na hakuna maswali mzee anarudi nyumbani na mchele, samaki nani atamuuliza alipokuwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha mi kuna mmoja kaolewa basi hata miezi sita haijapita aneka status "kama unaniona mi mavi na mie nakuona kinyesi tu"

Nlishangaa aisee
Kuna mwenzetu mmoja akiujua mchepuko wa mmewe baasi whasap status ni mwendo wa picha za harusi na familia tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!!nkiona hvyo najua kishanukaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Happy birthday to you my future wife to be.
 
Long live sista mungu akutunze na akupe afya njema !!! Kapitie kwa poshyquen size yeyote unayotaka ntajalipa.
 
Tupia picha yako mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…