Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,517
- 9,762
Kuolewa muhimu, sisi Waafrika heshima ya mwanamke ni ndoa hata kama unamihela na mibiashara kama huna ndoa hapo kuna tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha nawe mswahili...kila mkipishana "utaolewa lini"
Yuko pm ila wanaume wa Tz hawataki kypangiwa wala kuulizwa ndoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app