HAPPY BIRTHDAY TO ME

Zesh

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2017
Posts
15,395
Reaction score
25,049
Kwanza napenda kumshukuru Mungu muumba wa mbingu na ardhi, baba wa ulimwengu huu kwa kunipa nafasi ya kutimiza miaka kadhaa pia kunijaalia afya njema mpaka hapa nilipofikia .....namuomba mungu anizidishie baraka zake ,hekima na busara .


Niwatakie heri wale wote ambao wamezaliwa mwezi mmoja na Mimi..

Happy birthday to me

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…