Okay, ila akipita njiani akikutana na wadada anageuka kuwaangalia angalia, hadi ajue anavaa pants size gani??Hahaha, maana yake kama wewe ni forward na unaelekea kufunga, yeye atapisha ufunge bila bugudha.
Maana yake beki zake kwako hazikabi.
Itakuwa anataka kukwambia ameku miss na anakupenda, kama yule mleta uzi wa jana alivyo miss. Hafadhali upate furaha ya moyo si unajua baba nanihii amesahau malavidavi 🤣Mwanangu unataka nn kwa pm ya mamaako
Okay, ila akipita njiani akikutana na wadada anageuka kuwaangalia angalia, hadi ajue anavaa pants size gani??
Au hiyo haihusiani na kuwa kipofu?
..Hahaha pole sanaItakuwa anataka kukwambia ameku miss na anakupenda, kama yule mleta uzi wa jana alivyo miss. Hafadhali upate furaha ya moyo si unajua baba nanihii amesahau malavidavi 🤣
Nangatukaa 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]Mwanaume unatakiwa muda wote uwe kwenye mode ya kuthamanisha na kuendelea kukisifu kwamba ulipatia. So ile kugeuka kuangalia ni kama vile unaangalia na kusema hamfikii wa kwangu.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Wala hueleweki
Mwanamke haulizwi umri, waambie una 50.
kimbia haraka njoo haniiiBirthday yangu kesho nasubir keki
haniii njoo chukua si wajua mimi sukari yenu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]akikununulia nishtue maana yangu kesho kutwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]haniii njoo chukua si wajua mimi sukari yenu?
Kachukue sukari tunywe kahawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kachukue sukari tunye kahawa
Nimechapiatunye??? tunywe?
[emoji120] asnteeHbd dear
[emoji23][emoji23][emoji23]sawa ngoja niendeKachukue sukari tunywe kahawa
Acha hizo[emoji23][emoji23].. We hunaga typing errortunye??? tunywe?