Baby Nimah
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 719
- 833
- Thread starter
- #281
Thank u best [emoji120]Happy Birthday!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thank u best [emoji120]Happy Birthday!!!
Sawa Mimi si sijui kingereza? Sijaelewa ulichoandika
Totoo huyu ndiye?Thank u Darling
Kwa hiyo ulichoandika ni uongo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbwembwe za JF tu, ligi zimeisha nyuzi zetu zimedolola.
Kwa hiyo ulichoandika ni uongo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Takuteka mzee [emoji19][emoji19][emoji19]Totoo huyu ndiye?
Ninafuatilia kwa makini nijue mkwe hapa.
Sawa ngoja niendelee kupita[emoji23][emoji23]nikiendelea kubaki hapa nitaugua.There is always an exception to every rule, nilichoandika hakimhusu wifi yako yule.
She is beyond standards.
Sawa ngoja niendelee kupita[emoji23][emoji23]nikiendelea kubaki hapa nitaugua.
[emoji134] yesuu dady hapana kizungu tuuTotoo huyu ndiye?
Ninafuatilia kwa makini nijue mkwe hapa.
Fanya kama unanitumia pizza ili nisiyafikishe kama yalivyo. Maana hasira ya baadhi ya comments za mtu nilizosoma kwenye huu Uzi nitazimalizia kwako[emoji23][emoji23][emoji23]Ila ya humu yanabaki humu humu siyo?
[emoji848] mond sijui wako wap?Una papuchi?
Fanya kama unanitumia pizza ili nisiyafikishe kama yalivyo. Maana hasira ya baadhi ya comments za mtu nilizosoma kwenye huu Uzi nitazimalizia kwako[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani nimekosea uliza "mond"?[emoji848] mond sijui wako wap?
Watu kama nyie mnakera
Birthday yangu kesho nasubir kekiNitumie namba ya kukurushia keki mpendwa, ninamaanisha...nikuunge mkono kujipongeza
Roho wa Bwana amenikumbuka, akaninong'oneza kwamba "cute b amka nenda katembeetembee ujionee "[emoji23][emoji23]Hahaha, nimeona nikasema naomba usije humu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]akikununulia nishtue maana yangu kesho kutwa.Birthday yangu kesho nasubir keki
Roho wa Bwana amenikumbuka, akaninong'oneza kwamba "cute b amka nenda katembeetembee ujionee "[emoji23][emoji23]
Unaweza kuugua dege dege.Yaani kuna koment unaandika huku umeshapanga ujitetee vipi.
Tabu sana kuwekeza humu ndani.
Unaweza kuugua dege dege.
Vipi lakini mzima? Weekend ndefu kweli hii. Vipi kipande hicho ulichopo?