Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
sinaga mambo mskubwa, samtaimz ni mautani tu mke wangu[emoji7][emoji7][emoji39][emoji39][emoji8][emoji8]
Hii ndoa mbona siifahamu, bro mahari ulipeleka wapi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sinaga mambo mskubwa, samtaimz ni mautani tu mke wangu[emoji7][emoji7][emoji39][emoji39][emoji8][emoji8]
[emoji3][emoji3] najuaNataniaaaa!
Na wewe unaunga mkono hoja?[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji3][emoji3] najua
Nani kakwambia atatuma zawadi?Glory is to God I am plus one today, I pray that the Lord increase me in success and inspiration so I can lead a better life than ever. Happy birthday to me.
View attachment 1107950
Zawadi napokea PM-pesa [emoji39][emoji181]
Hehehe ningejua ningeendelea kuuchubua hadi keshoPresha ilianza kupanda ulivyochelewa kurespond!
Hadi nimekosa cha kujibu.Kumbe huyo ni mume wako?
[emoji23][emoji23] unaweza ukakuta kweli kuna watu wamekula mahari.Hii ndoa mbona siifahamu, bro mahari ulipeleka wapi!
Aisee! yaani mume wako mnapeana ahadi kupitia humu jf? Mambo ni mengi sana muda ni mchache!Mume wang
[emoji23][emoji23] unaweza ukakuta kweli kuna watu wamekula mahari.
Hehehe ningejua ningeendelea kuuchubua hadi kesho
Teh lazima ukose maana nimejijibuHadi nimekosa cha kujibu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na nisingekuja mkeshani?Ningekesha kule kukusubiri.
Siyo kweli , haujajijibu sema ningekujibu usingeniamini.Teh lazima ukose maana nimejijibu
Ndiyo maana kila siku KingY ananiambia nijiandae anakuja kunichukua nikaishi naye[emoji23][emoji23]lazima kuna mtu kala mahari yangu.Mjini hapa, mtu anapelekwa kwa ndugu wa kubumba, unashangaa imekuwaje.
[emoji3][emoji3][emoji3] kwani una mashaka sana na mimi?Siyo kweli , haujajijibu sema ningekujibu usingeniamini.
Yeah, mpaka umeuliza lazima niwe na mashaka na wewe. Tofauti na hapo usingeuliza.[emoji3][emoji3][emoji3] kwani una mashaka sana na mimi?
[emoji23][emoji23][emoji23] daah haya bwana ngoja nikafute swali languYeah, mpaka umeuliza lazima niwe na mashaka na wewe. Tofauti na hapo usingeuliza.