Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Happy birthday to you beautiful[emoji171]Siku ya leo nimetimiza miaka kadhaa duniani,
Nawashukuru wazazi walionileta duniani
Japo wametangulia mbele za haki(RIP Dad&Mum)
Namshukuru MUNGU kwa uzima na afya,
Sifa na utukufu namrudishia katika kiti chake cha enzi.
Happy birthday to me.
AmenUfike unapotamani maishani
!!una bwana?
AmenHappy birthday to you beautiful[emoji171]
Mungu akubarikie akulinde,akuinulie uso wake na kukupa furaha[emoji8]
Sent using Jamii Forums mobile app
AminaKila lenye kheri likawe nawe daima.!!
vipi?
Nipe sababu tatu za kuniuliza swali hilon
vipi?
Asante, The Boss.Happy birthday day mrembo..
How old are u?Asante, The Boss.
Nimetimiza 27yrs.How old are u?
Si habaNimetimiza 27yrs.
unamjua?Happy birthday to you beautiful[emoji171]
Mungu akubarikie akulinde,akuinulie uso wake na kukupa furaha[emoji8]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimetimiza 27yrs.
kumkubali na kumtumainia BWANA yesu kristo kuna tatizo?Nipe sababu tatu za kuniuliza swali hilo
Huenda sikukuelewakumkubali na kumtumainia BWANA yesu kristo kuna tatizo?
au hukunielewa
[emoji3][emoji3]Bado mbichi kabisa.
Nakutafutia zawadi unikumbushe