Happy birthday to me

Siku ya leo nimetimiza miaka kadhaa duniani,
Nawashukuru wazazi walionileta duniani
Japo wametangulia mbele za haki(RIP Dad&Mum)

Namshukuru MUNGU kwa uzima na afya,
Sifa na utukufu namrudishia katika kiti chake cha enzi.

Happy birthday to me.
Happy birthday to you beautiful[emoji171]
Mungu akubarikie akulinde,akuinulie uso wake na kukupa furaha[emoji8]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…