Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Habari wakuu
Napenda kumshukuru Mungu muweza yote kwa kunipa neema ya kuongeza mwaka mwingine.
Pia niwashukuru wadau wote wa kilinge hiki kwa msaada wa kiushauri ambao mnaendelea kuutoa hasa kwenye changamoto za mahusiano na binafsi ni mnufaikaji mkubwa sana siwezi elezea ikatosha.
Mungu awalinde nyote na kuwabariki.
Amina.
Napenda kumshukuru Mungu muweza yote kwa kunipa neema ya kuongeza mwaka mwingine.
Pia niwashukuru wadau wote wa kilinge hiki kwa msaada wa kiushauri ambao mnaendelea kuutoa hasa kwenye changamoto za mahusiano na binafsi ni mnufaikaji mkubwa sana siwezi elezea ikatosha.
Mungu awalinde nyote na kuwabariki.
Amina.