ππMtani haya mambo ya kwenye mtandao saa nyingne yanataka moyo
Huyo ni mpinzani wangu maana kweli nilimtaka mahondaw ila akanizidi maarifa. Ila sasa naona kuwa ilikuwa ni halali maana siwezi kujiweka kwa mke wa mtu wakati ndani naacha mke. Afterall mwanamke akiwa na mtoto, huwa namheshimu maana unaweza kujikuta nawe unaweka katoto kako; hapo msala wa kuwatunza wote huwezi kuukwepa.Uchochezi
Siwezi kufurahia kitu kinachoniumiza. Sioni haja hiyo. Japo siwezi badili kitu.Ufurahie usifurahie umri unazidi kuongezeka kwa kasi ya 5G aise..inabidi ukubaliane na hali halisi Chief hakuna namna..
Furahia siku yako ya kuzaliwa Chief πππ§ββοΈπ§ββοΈπ§ββοΈ
Happy Birthday to you mrembo wa mtu Mungu akuzidishe na akulindeNi jambo la kumshukuru Mungu sana kwa nafasi hii ya upendeleo..Sifa,Shukrani na Utukufu ninakupa wewe uketie mahali Patakatifu..Amen
Happy birthday [emoji324][emoji323][emoji322][emoji320][emoji512] to me kwa mara nyingine tena.
Happy birthday yβall team Gemini [emoji1635][emoji1635][emoji3344][emoji3344]
Chakorii
Kwani mahondaw anasemajeHuyo ni mpinzani wangu maana kweli nilimtaka mahondaw ila akanizidi maarifa. Ila sasa naona kuwa ilikuwa ni halali maana siwezi kujiweka kwa mke wa mtu wakati ndani naacha mke. Afterall mwanamke akiwa na mtoto, huwa namheshimu maana unaweza kujikuta nawe unaweka katoto kako; hapo msala wa kuwatunza wote huwezi kuukwepa.
[emoji23][emoji23][emoji23]Sina aiseh humu ndani..yale mambo ya kupatana huku na kuja kuachana humu ndani..hapana kwakweli sipendi kuwa maarufu..
30+ Chief