Happy birthday to me

Happy birthday to me

Uchochezi
Huyo ni mpinzani wangu maana kweli nilimtaka mahondaw ila akanizidi maarifa. Ila sasa naona kuwa ilikuwa ni halali maana siwezi kujiweka kwa mke wa mtu wakati ndani naacha mke. Afterall mwanamke akiwa na mtoto, huwa namheshimu maana unaweza kujikuta nawe unaweka katoto kako; hapo msala wa kuwatunza wote huwezi kuukwepa.
 
Ufurahie usifurahie umri unazidi kuongezeka kwa kasi ya 5G aise..inabidi ukubaliane na hali halisi Chief hakuna namna..

Furahia siku yako ya kuzaliwa Chief 😊😊🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️
Siwezi kufurahia kitu kinachoniumiza. Sioni haja hiyo. Japo siwezi badili kitu.
 
Ni jambo la kumshukuru Mungu sana kwa nafasi hii ya upendeleo..Sifa,Shukrani na Utukufu ninakupa wewe uketie mahali Patakatifu..Amen

Happy birthday [emoji324][emoji323][emoji322][emoji320][emoji512] to me kwa mara nyingine tena.

Happy birthday y’all team Gemini [emoji1635][emoji1635][emoji3344][emoji3344]

Chakorii
Happy Birthday to you mrembo wa mtu Mungu akuzidishe na akulinde
 
Huyo ni mpinzani wangu maana kweli nilimtaka mahondaw ila akanizidi maarifa. Ila sasa naona kuwa ilikuwa ni halali maana siwezi kujiweka kwa mke wa mtu wakati ndani naacha mke. Afterall mwanamke akiwa na mtoto, huwa namheshimu maana unaweza kujikuta nawe unaweka katoto kako; hapo msala wa kuwatunza wote huwezi kuukwepa.
Kwani mahondaw anasemaje
 
Back
Top Bottom