GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Asante Mkuu ila Mimi simuombolezi tu Hayati Rais Dkt. John Magufuli bali kila Uchao ninawaomboleza pia akina Hayati Mwalimu Nyerere, Abeid Karume, Benjamin Mkapa, Samora Machael, Kwame Nkurumah, Patrice Emelly Lumumba, Nelson Madiba Mandela, Fidel Armando Castro, David Ben Gurion, Yurin Netanyahu, Walter Sisulu na Yitzhak Rabin.Hbd ( ingawa bado tupo kwenye maombolezo ya chuma
Wakorofi sana huku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Una bahati yani zilikuwa zimebakia siku 4 almanusra uzaliwe kwenye ile sikukuu yenu na wenzako
Hili la Kuacha Ukorofi nitalifikiria Mkuu.Umekuwa sasa ya uache ukorofi
Dk. Ndumbaro nae alitudanganya sana.'Mechi moja inaangaliwa na zaidi ya watu milioni 500, raundi ya kwanza kwenye champions league kacheza mechi nne yaani milioni mia tano mara mechi nne ni sawa na watu bilioni mbili. Kombe la shirikisho kacheza mechi sita kwahiyo ukichukua milioni mia tano mara mechi sita ni sawa na watu bilioni tatu ukijumlisha hapo unapata bilioni tano, kwahiyo watu bilioni tano wameiona VISIT TANZANIA. CCM ILAANIWE
Yeah I'm a Ram Rider Chief na Nyota yangu ya Kondoo / Punda ndiyo Nyota Kiongozi na inasema mengi ambayo Kiasili kwa 99.9% nipo nayo na ndiyo Uhalisia wangu.Wewe ni kondoo. ♈
Asante sana Mkuu. Nimezipokea vyema.Kheri ya kuzaliwa kwako Mr. Genta,
GENTAMYCINE Le Champion Animateur du Congo DR ( Bingwa wa Kurapu au Atalaku Congo DR nzima )Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer
Asante mno Mkuu. Nimezipokea vyema.Happy birthday mkuu
Happy birthday GentaAsante Mwenyezi Mungu, Asante Wazazi wangu, Asante Walimu, Wakufunzi na Wahadhiri wangu, Asante wale Wote mlionilea na Kunijenga Kimaadili na Kinidhamu, Asante wote ambao mlikuwa na mnaendelea kuwa Wema Kwangu kwa hali na mali, Asante Ndugu, Jamaa na Marafiki pamoja na wale Maadui zangu tukuka ndani na nje ya JamiiForums.
27th March ni Siku Muhimu Kwangu.
Naye anazaliwa leo sema hapendi kupost tuHivi Mighter yule jamaa genious humu Jf birthdate yake ni lini?