Katika hiyo namna nyingine, utakuwa ulifumba macho then ukaisema kwa vituo vituo ๐Nimejaribu kuiwaza hiyo oooh shit kwa namna nyingine๐
Keki wapi?Ushauri mzuri sana huu
Thanks[emoji847][emoji847]Imeisha hiyoโฆ[emoji16][emoji16]
Happy birthday in advance Gemini
[emoji3059][emoji3059]Thank you my dear Shunie[emoji8]
Happy birthday kipenzi uishi maisha marefu dada yangu.Bado sijaelewa unamaanisha nini ndugu
[emoji178][emoji178][emoji178]Thank you [emoji3590]
Amen na iwe kama unenavyo dear wangu.
Nimekumiss mwee
Acha kuzuga babu ilete hiyo zawadi tafadhaliWakati nakimbia kukuletea Maziwa yako nilijikwaa njiani na kumwaga maziwa yote ๐ค
Hata hivyo nimesikia nyie Wapare bora mkose maziwa lakini Msikose Makande
Babu yupo njiani kukuletea Makande yako ili kufurahia Siku yako ya kuzaliwa ๐
Heri ya Siku ya Kuzaliwa Mjukuu
Zawadi yako ya Makande ndiyo ipo Jikoni, Bibi yako ameziunga Nazi.Acha kuzuga babu ilete hiyo zawadi tafadhali
Hivi kumbe mimi ni mpare na sijui!!maskini mie