Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mimi ya kwangu kesho...siutaniwish kwa kutumia hayo hayo maneno😁😁😁
Mimi tunakosana hapo ,kila mtu baby naomba hili jina libaki kwangu tu sio hawa vijana wa 2000Happy birthday my love...😍
Sweetheart punguza wivu...mm ni wako🥰🥰🥰Mimi tunakosana hapo ,kila mtu baby naomba hili jina libaki kwangu tu sio hawa vijana wa 2000
Anyway happy birthday wewe sharobaro
Anhaaa wewe dada sijui Leo nisipolala klabuni nakunywa ulanzi sijui ,maana unavyoniita majina ya hivyo najihisi raha isiyomithirika ,haki niaminishe mbele ya kadamnasi nikija PM hautanipa Cha mbavuSweetheart punguza wivu...mm ni wako🥰🥰🥰
Njoo pm babangu....🥰🥰 Nakupenda eehAnhaaa wewe dada sijui Leo nisipolala klabuni nakunywa ulanzi sijui ,maana unavyoniita majina ya hivyo najihisi raha isiyomithirika ,haki niaminishe mbele ya kadamnasi nikija PM hautanipa Cha mbavu
Unamchora jamaaSa ukorofi Wang uko wapi sweetheart....?
Hapana jamani ...Unamchora jamaa
Mbona Kama haujapenda Sasa ,Kama Kuna lolote nambie nitafurahi zaidi .Hongera mkuu..!
Acha bhangi!😂Mbona Kama haujapenda Sasa ,Kama Kuna lolote nambie nitafurahi zaidi .
Naruhusiwa kuoa hata wanne kikubwa niwe na amali
Nianze tu kula biriani kwenye harusi yangu ilihali mandazi na chai vinapatikanaAcha bhangi!😂
Usinisahau kwenye mwaliko nije kufinya biriani
I got you..No. Just a girly man looking for attention!