Happy Birthday to mie

Happy Birthday to mie

Dah....Leo tena....nimegonga umri zaidi ya mara 2 ya umri wa Ushimen ... karibu mara 3 ya umri wa Khantwe.... Bado nasimama wima. Nawashukuru wazazi wangu kwa kunilea kwenye maadili ya kutosema uongo (mshua) na kutokuvaa shati moja siku 2 mfululizo (bimkubwa)....nami napita mulemule....na kufanya maisha yanakuwa rahisi sana.. .nawapenda sana nyie wawili...
Nasubiri jua lipungue nije kuwachukua twende Coco Beach...tukale mishkaki na kucheza kwaito...nawaombea maisha marefu..

Happy birthday Mimi [emoji535][emoji535][emoji1649][emoji525][emoji522][emoji531]
 
Back
Top Bottom