Happy Birthday To mimi Khantwe

Nimeshamuagizia lorry la mbao, ili asihangaike tena kwenda kuchana mbao yeye mwenyewe. Hope amefurahia sana zawadi yangu kuliko zote.

Jasiri haachi asili....hata ungenipa malori mia....kuchana mbao is my passion
 
Kwa niaba ya familia ya mr&mrs Rogie,tunakutakia kheri ya kuzaliwa mpendwa wetu Khantwe.Mwenyezi Mungu akujaalie maisha mema na yenye baraka tele.
 
Last edited by a moderator:
happy birthday shoga mungu akuzidishie mauhai uishi miaka mingi....teh teh kama hujaolewa kama mimi naunganisha maombi yote two in one kwa muumba...ukioga badae uje uchukue hela ya juisi cola..
 
happy birthday shoga mungu akuzidishie mauhai uishi miaka mingi....teh teh kama hujaolewa kama mimi naunganisha maombi yote two in one kwa muumba...ukioga badae uje uchukue hela ya juisi cola..

Hahahahaa Amina kubwa.....ntakuja bila shaka
 
Jasiri haachi asili....hata ungenipa malori mia....kuchana mbao is my passion

Daah kweli mwana mzoea tabu, raha zina wenyewe kina sisi. Kila la kheri na pasion sijui mango yako
 
Shemeji nizime taa? Aaaaaa hapana! Teh teh teh! Nilikuwa bungeni shem ndiyo maana nimechelewa kukujibu! Nilitaka nisikie pumba za mafisadi! Happy birthday to my beautiful shemeji Khantwe, mwaaaaaaaaa! Tafadhari Ntuzu usione wivu!
 
Last edited by a moderator:
Shemeji nizime taa? Aaaaaa hapana! Teh teh teh! Nilikuwa bungeni shem ndiyo maana nimechelewa kukujibu! Nilitaka nisikie pumba za mafisadi! Happy birthday to my beautiful shemeji Khantwe, mwaaaaaaaaa! Tafadhari Ntuzu usione wivu!

Haha thank u shemeji...my hubby hanaga wivu
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…