Happy Birthday To mimi Khantwe

Happy Birthday To mimi Khantwe

Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Long live u and your bro mo11. Mwenyezi mungu awajaze baraka kwa kila jema mtakalofanya.
hi marafiki,
najua mpo bize na escrow ila naomba muungane na mimi japo dakika chache kuadhimisha siku yangu ya kuzaliwa.
Namshukuru mungu aliyenipa uhai hadi kufikia tarehe ya leo ambapo nnatimiza miaka........
Nawashukuru pia marafiki zangu mnaonipa kampani,hakika ninyi ni sababu ya mimi kutabasamu.... Mungu awabariki sana sana.
Napokea zawadi, m pesa tigo pesa zipitie kwa my hubby ntuzu.
Happy birthday to mimi..!!
Cc wote wanaonipenda na kuniombea mema.
Nb:
Pia nimtakie siku njema ya kuzaliwa kaka yangu wa ukweli kabisa mo11
 
Last edited by a moderator:
Naomba utusamehe tu mpendwa, ktk hii happy birthday yako wengi tumevurugwa na alioyasoma zzk jana mjengoni, nakutakia maisha marefu
 
Back
Top Bottom