[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimeenda kule ulikonituma ujue...Kwenye hela tutatafutana ubaya,mana napenda hela mangi akasome[emoji23][emoji23]
Halafu anza kunimwagia mimi kwanza hizo hela
Nimesema uje uchukue dadashemeji.Shukrani mpendwa.
Kakashemeji hebu nimpese haraka basi!!
Shukrani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Na kwako pia
Keki wapi nije niko na hela ya forex hapa[emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] kwa jina ilo acha nivushe tu na tena uwa nalifikiria kwa kulitungia sentence kilugha
Bado, nakusubiri wewe ufike best.Wala usijali
Mishumaa ushazima?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Leo ni mwendo wa kutafuna tuu, kale kajina espy unakaweka pembeni.
Venyee sipendagi icensuger [emoji28] ni kutupa tuu
Hivi ujue nakudai!! Hebu nisimulie kale kastory basi.Ila unawindwa mno brav,
Hahahahaha........Simply Black Listed.
Mmmh!! Waarabu wa pemba nyie.Mwacheni Fisadi wangu nyie,
Humu ndani watu ndiyo huwa wanamchokoza wenyewe!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ahaa ile foundant pale juu inabanduliwa taratiiiiiiibuu
Halafu unakula ile soft layer ya ndani
Shemeji nilikuwa na mpango wa kutoa taarifa polisi kuwa nimepotelewa na shemeji.Hauja nishitua kuwa kuna kichanga huku. Ngoja nikambebee masile sile nimmwagie mwili mzima.
Mtoto espy anahitaji raha na kupendwa
tulikubaliana tarehe 8,Hivi ujue nakudai!! Hebu nisimulie kale kastory basi.
Wapi huko hebu ning'ate sikio basi[emoji6][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimeenda kule ulikonituma ujue...
Kana fujo haka katoto jamani, kuna mtaa nilimkuta nilicheka!! Bahati mbaya uzi ulikuwa umefungwa.Kuna kipindi hapa kati ulikarakasha sana watu,
Hahahaha, nakumbuka kuna watu walikuwa hawapata amani wakikuona...
Ni wivu wa mods tu, alafu naona unanitafutia ban nyingineHebu sema vizuri, ulifanya fujo mtaa gani?
Sasa ndugu yangu cake imeandaliwa toka mchana huonekani kwanini tusijitafunie wenyewe.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mama kwahiyo umetupa jina langu then ukala keki[emoji134] [emoji134] [emoji134]
Nitakudai.
Sema na uzee nao unachangia[emoji85] [emoji85] [emoji85]Hahahahaha old good days bruv... We kinda miss that JF.. Hii ya sikuhizi iko boring sana I can even go a week bila ya kufanya chochote humu..
Hata leo ndio nimeona ile PM yako ya Happy New Year..
Heaven Sent njoo unisaidie tusi la kumtusi huyu mtu[emoji134]Helleluyah....Usiache BWANA mwaka huu upite
Naisubiri hiyo mihela shem.Shemeji wa faida[emoji23] [emoji23] [emoji23] unisaidie kummwagia mihela espy?
Hivi mnafikiri sifa eeh!!Ahaa ile foundant pale juu inabanduliwa taratiiiiiiibuu
Halafu unakula ile soft layer ya ndani
Mrs msomali nakuzoom tu![emoji123]Kwenye hela tutatafutana ubaya,mana napenda hela mangi akasome[emoji23][emoji23]
Halafu anza kunimwagia mimi kwanza hizo hela