Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Ni kikurya au kizanaki? Sina kumbukumbu vizuri ni lugha gani kati ya hizo ni tusi. Nakumbuka utotoni ulikuwa ukimwambia mtu hivyo ni boonge la tusi.Inawezekana kwa lugha ya kwao siyo tusi but kule kwetu Mara ni tusi tena kubwa
December hii walikwapua simu bhana! Fanya nizipate hebuMkwe ndio kisema na namba yangu ulifuta?[emoji134]
NIMEKUDHARAUUUUU!!hhaha sikuopgpiii
Hii naona kila mtu anasheherekea kwao, siye ndio tunataka kuanza kuikata cake ya bidadaHilo ndio LA msing hv umepewa mualiko kwan au kila MTU anasherekea kwao?
Hahaaa!! Baba swalehe bwana!Mkuu umetimiza Kansas Karne ya ngap bado kuna nafasi au full !!?
Nimekutext mkwe, nipo hapa nachungulia halopesa yangu kila dakika.December hii walikwapua simu bhana! Fanya nizipate hebu
Nahisi ni kikurya icho na nikionaga jina la jamaa mawazo uwa yanaenda mbali [emoji12] [emoji12]Ni kikurya au kizanaki? Sina kumbukumbu vizuri ni lugha gani kati ya hizo ni tusi. Nakumbuka utotoni ulikuwa ukimwambia mtu hivyo ni boonge la tusi.
AsanteKaribu sana rafiki.
Hahaaaa!! Usinisingizie kabsaaa!! Ile ban sijui ulifanya fujo wapi maana nawe kwa fujo hujambo!!Nimeogopa hata kukwambia nilete zawadi maana naweza pokea ban from nowhere teh teh
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hii naona kila mtu anasheherekea kwao, siye ndio tunataka kuanza kuikata cake ya bidada View attachment 674067
Hahahaaaaaaa!!! Rafiki sio vizuri kuvusha[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Nahisi ni kikurya icho na nikionaga jina la jamaa mawazo uwa yanaenda mbali [emoji12] [emoji12]
Bas Leo cake ziko nying aisee mie huku nshakula ya kwanguHii naona kila mtu anasheherekea kwao, siye ndio tunataka kuanza kuikata cake ya bidada View attachment 674067
Hapana sister, nilikuwa nakula mbuzi wangu huo muda wa fujo niotolee wapi? Teh tehHahaaaa!! Usinisingizie kabsaaa!! Ile ban sijui ulifanya fujo wapi maana nawe kwa fujo hujambo!!