Nikija huko itabidi tukae watatu kaka mkubwa😊Nipo tayari, sa sijui kama naweza kueleweka 🤣🤣🤣 ila kama kuna namna umewekeza kidogo basi kazi yangu itakuwa nyepesi sana. Vuta mzigo huo uje K'njaro.
Ashazima na local bia huyo😁😁Vincenzo Jr upo wapi? Nimekumiss☺️
Karibu sana dogo, lifanyie kazi mapema kabla mambo hayajawa memgi...Nikija huko itabidi tukae watatu kaka mkubwa😊
Itakua yupo gymAshazima na local bia huyo😁😁
Mambo yashakua mengi tayari ila mimi ni mangi aseee😁😁😁Karibu sana dogo, lifanyie kazi mapema kabla mambo hayajawa memgi...
Hahaha jimu sidhani😁Itakua yupo gym
Kwa hiyo tunafanyaje sasa🤣🤣🤣🤣Mambo yashakua mengi tayari ila mimi ni mangi aseee😁😁😁
Ndio utajua mangi hatulagi makande kaka mkubwa😁😁Kwa hiyo tunafanyaje sasa🤣🤣🤣🤣
Hahahaha, sawa mkuu. Ifurahishe nafsi mzee, ukichelewa utashangaa na nafsi yakoNdio utajua mangi hatulagi makande kaka mkubwa😁😁
Nishachelewa ila mimi ni mangi😁Hahahaha, sawa mkuu. Ifurahishe nafsi mzee, ukichelewa utashangaa na nafsi yako
Vocha bado zinakuuma😂Bila kuona comment ya tajiri kubwa Bantu Lady sitoridhika kabisa 😎
Dah ww acha tuu ndugu yangu, bado karoho hakana Aman kabisa 😭Vocha bado zinakuuma😂
Matajiri wanaendelea kuishi ndani ya mioyo yetu☺️
Mimi salio bado linasoma😂Dah ww acha tuu ndugu yangu, bado karoho hakana Aman kabisa 😭
Mikakati ikoje kwa sasa?Nishachelewa ila mimi ni mangi😁
Kula kande ulale 😁Dah ww acha tuu ndugu yangu, bado karoho hakana Aman kabisa 😭
Upo serious kabisa unamsikiliza!🤔Mikakati ikoje kwa sasa?
Ashakujibu kwa cheko kaka mkubwa.Mikakati ikoje kwa sasa?