Inalipa mno muulize ephen kwangu😆🤣🤣Niliisha kua, nikaona hailipi nimewaachia wenzangu.
Happy Birthday. Ishi sanaHabari Vincenzo, Tigo inakutakia heri na mafanikio katika Siku yako ya kuzaliwa na siku zijazo. Asante kwa kutumia huduma za Tigo na Tigo Pesa!
Mpendwa Vincenzo, Airtel inakutakia heri na mafanikio katika siku yako ya kuzaliwa. Ahsante kwa kuwa mteja wetu na endelea kufurahia huduma zetu.
Khaa! Unajipa sana umuhimu wewe mangi!Inalipa mno muulize ephen kwangu😆
Well, ndo maana nimeachia inaowalipa Min. 🙂Inalipa mno muulize ephen kwangu😆
Mangi siwezi kushindwa asee 😛Khaa! Unajipa sana umuhimu wewe mangi!
Huu uzi wa mwenetu tutambe ila mpigieni simu usije kuta kazidiwa na mitungi😁Well, ndo maana nimeachia inaowalipa Min. 🙂
Anaheka heka yule baba atakua kaenda kutafuta samakiHuu uzi wa mwenetu tutambe ila mpigieni simu usije kuta kazidiwa na mitungi😁
Yule ni muongomuongo! Alisema atatumwagia zawadi ndio nazisubiri hapaHuu uzi wa mwenetu tutambe ila mpigieni simu usije kuta kazidiwa na mitungi😁
Na wewe alikudanganya? 😥Yule ni muongomuongo! Alisema atatumwagia zawadi ndio nazisubiri hapa
Achana na hizo zawadi umesahau zangu?Yule ni muongomuongo! Alisema atatumwagia zawadi ndio nazisubiri hapa
Ndio! Alituambia mimi na min akee😒Na wewe alikudanganya? 😥
Zipi? Halafu kaka yako Chaliifrancisco kanitukana mchana kweupeAchana na hizo zawadi umesahau zangu?
Atajua mwenyewe ninachojali tunafurahi 😊Anaheka heka yule baba atakua kaenda kutafuta samaki
Msamehe sisi wachaga hatutaki blabla ipo siku na mimi nitakutukana unisamehe lakini kama utavyo msamehe chalii😊Zipi? Halafu kaka yako Chaliifrancisco kanitukana mchana kweupe
Hahahahaha🤣🤣Niliisha kua, nikaona hailipi nimewaachia wenzangu.
Samaleko staff officer.Hahahahaha