Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unanifuatilia sana maisha yangu kipenzi😊Kwanini unamforce? Muache atupie kwa raha zake🙄
Jamani 😅😅😅Kwanini unamforce? Muache atupie kwa raha zake🙄
❌kipenzi
ulimaanisha nini kwenye agement?I'm sure he or she's your agement 26/27
Anakuamrisha etii😂Jamani 😅😅😅
Alimaanisha 'agemate' msamehe mzee huyo haoni vizuriulimaanisha nini kwenye agement?View attachment 3077268
Kwanini unamforce? Muache atupie kwa raha zake🙄
Kama umemchoka mangi. Achaneni kimya kimya tusishuhudie😏😏Alimaanisha 'agemate' msamehe mzee huyo haoni vizuri
Kwani yeye mwenyewe anasemaje?🤔Kama umemchoka mangi. Achaneni kimya kimya tusishuhudie😏😏
Ephen hawezi niacha hata akiolewa atarudi tu , sijawahi kuachwa fake p mtu wangu😊Kama umemchoka mangi. Achaneni kimya kimya tusishuhudie😏😏
Makubwa haya....!😳😳😳Ephen hawezi niacha hata akiolewa atarudi tu , sijawahi kuachwa fake p mtu wangu😊
Acha akili mbovu na wewe kutoa hiyo nyimbo inaondoa vipi uanaume wangu?🤣🤣🤣🤣 huu ni umama🙌
Mnapeana hadi nyimbo🙄
Bday ni za sisi warembo😒😒
KaoneMakubwa haya....!😳😳😳
Mumy mbona una roho mbaya kiasi hiki,yaan.mpaka anajipost mwenyewe,,,kwakwel wala sijapenda kabisa yanUmetimiza umri gani?🤔
Eishiiiiii! Unanifokea🙄Acha akili mbovu na wewe kutoa hiyo nyimbo inaondoa vipi uanaume wangu?
Ulitaka nimpost?😂Mumy mbona una roho mbaya kiasi hiki,yaan.mpaka anajipost mwenyewe,,,kwakwel wala sijapenda kabisa yan