ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Live good bwana Vincenzo Jr !!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sio hivyo , fukuzia tu mkuu , ila tafuta pesa wapenzi wako wapo darasa la tano ,unajua hilo🤔Unajua mwanangu umenifokea mbele ya warembo🤔
Kaka mkubwa unanishauri vipi kuhusu ephen_ 🤣🤣🤣Live good bwana Vincenzo Jr !!
Hahaa 😂, sema uzuri hawakuoni... Ungekuwa liveMsela ameniabisha kichizi yani mpaka warembo wakaanza kuniambia niache kelele🤔
Keki na konyagi bonge moja ya pigoKuna siku waifu alininunulia keki kwaajili ya birthday, mie nikapitia bar kukata maji......
Nilikuja kurudi home usiku mwingi na watoto walisha lala.
Asubuhi waifu akawapa watoto wanywee chai.
Namaanisha kwamba, wengine hatujazowea haya mambo na sina uhakika kama kuna mwanaume anafagilia hizi pigo.
Umebadili viatu, rudishaUna kelele
Dokta kuna issue inanisumbua kidogo sielewiKeki na konyagi bonge moja ya pigo
Tafuta pesa nyingi mangi hilo ni neno la mwisho kutoka kwangu😊Kwahiyo unaniabisha tena🤔
Mwenetu simwoniAbee
Mwalimu wa hesabu wewe 😊Mwenetu❌
Mwanetu✅
Atakuja usijali
😊mambo ni ganiDokta kuna issue inanisumbua kidogo sielewi
Na kiswahili,Mwalimu wa hesabu wewe 😊
Ndio maana nakupendaNa kiswahili,
Aleykum Salam, staff officerSamaleko staff officer.
Je vous aime☺️Ndio maana nakupenda
Je t'aime tellement, mon amour.Je vous aime☺️