Happy Birthday WiseLady!

thx loads mydr,,,najua kwa mrombo inanihusu leo vinginevyo ntanuna🙂
Muda ni uleule tuliopanga juzi!...Blue Balaa atafungua shampeni, ambapo tayari imeshawasili toka Pakistan kwa Kiongozi wetu!
 
hongera mhandisi kwa siku hii....sasa itabidi hii maneno tuiandae kabisa pale mahala....
Salamu kutoka Kericho
Happy Birthday
 
Muda ni uleule tuliopanga juzi!...Blue Balaa atafungua shampeni, ambapo tayari imeshawasili toka Pakistan kwa Kiongozi wetu!

huh!can't wait to pop it!sasa ole wake blue balaa achelewe kama sitakuwa ghafla nipambane nae,,,lol🙂usiache kualika watu plz kama big braza odm na mwenye maandishi mekundu
 
hongera mhandisi kwa siku hii....sasa itabidi hii maneno tuiandae kabisa pale mahala....
Salamu kutoka Kericho
Happy Birthday

mhandisi bana!ile maneno yetu tutamalizia lock twn ni noma,,fanya uje na githeri ipunguzie mm hasira
 
Hahahaha....mkwala wa babu kiduchu kaboifrendi kamesepa LOLZ

hahahaha nimecheka kwa sauti!kale kamkwara kamenipeperushia ndege itabidi nijigonge upya au nipotezee nini?
 
huh!can't wait to pop it!sasa ole wake blue balaa achelewe kama sitakuwa ghafla nipambane nae,,,lol🙂usiache kualika watu plz kama big braza odm na mwenye maandishi mekundu
Ukumbi ni mdogo, hao uliowataja wataalikwa wakati wa hepibesdei ya derimto mwezi wa 2 mwakani!
 
hongera mhandisi kwa siku hii....sasa itabidi hii maneno tuiandae kabisa pale mahala....
Salamu kutoka Kericho
Happy Birthday
Wewe nae una matisho weweee!
Huko Kericho ile nanihiino ndo tayari nini!...maana hata nanihii siku hizi hainanihii kabisaaaa!...mwambie nanihii kuwa una marafiki huku ati eeh!...sio ananihii tu kama nanihiino vile!
 
Ukumbi ni mdogo, hao uliowataja wataalikwa wakati wa hepibesdei ya derimto mwezi wa 2 mwakani!

hahaha!utanivunja mbavu sasa kha!fanya namna hata tukae garden maana odm ni muhm kwa ukaguzi na mwenye maandishi kama bebisita🙂
 
Happy birthday Mamito
Kimey una kesi ya kujibu!!!
Ngoja nitoke hapo nje!!!

Mungu akutunze akujalie afya na nguvu
Siku zote za maisha yako. WiseLady!!!!!!!
 
Wewe nae una matisho weweee!
Huko Kericho ile nanihiino ndo tayari nini!...maana hata nanihii siku hizi hainanihii kabisaaaa!...mwambie nanihii kuwa una marafiki huku ati eeh!...sio ananihii tu kama nanihiino vile!

hawa nannih na nanihino hawa!!nawe unakaba mno mwisho tutakosa kuambiwa dada habari,hutaki mahari?!
 
Happy Bday Wiselady Mungu akuzidishe busara na baraka nyingi zaidi be blessed,Kimey na WL pilau tunaenda kula wapi nimeishaandaa ndizi kabisa
 
Happy birthday Mamito
Kimey una kesi ya kujibu!!!
Ngoja nitoke hapo nje!!!

Mungu akutunze akujalie afya na nguvu
Siku zote za maisha yako. WiseLady!!!!!!!

asante sana ld,,,huyu msacha wako kaunta panamuharibu tutamfunga kamba kwa safari ya mlimani,,,sasa ndo hukuniaga kwa nini?
 
Hapa ni birthday wishes mbona mnachakachua thread??? Majina sitaji ila mnajijua
 
Happy Bday Wiselady Mungu akuzidishe busara na baraka nyingi zaidi be blessed,Kimey na WL pilau tunaenda kula wapi nimeishaandaa ndizi kabisa

asante dearest,,,swala la pilau kuliwa wapi afro ana maagizo yote pia pj anaandaa katafrija hapa ingawa kana harufu ya uchoyo,,lol
 
Happy birthday Mamito
Kimey una kesi ya kujibu!!!
Ngoja nitoke hapo nje!!!

Mungu akutunze akujalie afya na nguvu
Siku zote za maisha yako. WiseLady!!!!!!!
Ngoja nitafute wakili kabsaa maana naujua muziki wako L.D,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…