Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Subiri ukue kidogo nawee:hatari:khe!nizaliwe leo afu uulize mara ngapi?fanya dozi utakayoona inatosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri ukue kidogo nawee:hatari:khe!nizaliwe leo afu uulize mara ngapi?fanya dozi utakayoona inatosha
Happy birthday WL, may this day always be a special one to remember.
Muda ni uleule tuliopanga juzi!...Blue Balaa atafungua shampeni, ambapo tayari imeshawasili toka Pakistan kwa Kiongozi wetu!thx loads mydr,,,najua kwa mrombo inanihusu leo vinginevyo ntanuna🙂
Subiri ukue kidogo nawee:hatari:
hahaha!nahs nimeshakua,,au nitoke na kawiseboy?
Muda ni uleule tuliopanga juzi!...Blue Balaa atafungua shampeni, ambapo tayari imeshawasili toka Pakistan kwa Kiongozi wetu!
Muda ni uleule tuliopanga juzi!...Blue Balaa atafungua shampeni, ambapo tayari
imeshawasili toka Pakistan kwa Kiongozi wetu!
hongera mhandisi kwa siku hii....sasa itabidi hii maneno tuiandae kabisa pale mahala....
Salamu kutoka Kericho
Happy Birthday
Hahahaha....mkwala wa babu kiduchu kaboifrendi kamesepa LOLZ
Ukumbi ni mdogo, hao uliowataja wataalikwa wakati wa hepibesdei ya derimto mwezi wa 2 mwakani!huh!can't wait to pop it!sasa ole wake blue balaa achelewe kama sitakuwa ghafla nipambane nae,,,lol🙂usiache kualika watu plz kama big braza odm na mwenye maandishi mekundu
Wewe nae una matisho weweee!hongera mhandisi kwa siku hii....sasa itabidi hii maneno tuiandae kabisa pale mahala....
Salamu kutoka Kericho
Happy Birthday
Ukumbi ni mdogo, hao uliowataja wataalikwa wakati wa hepibesdei ya derimto mwezi wa 2 mwakani!
Wewe nae una matisho weweee!
Huko Kericho ile nanihiino ndo tayari nini!...maana hata nanihii siku hizi hainanihii kabisaaaa!...mwambie nanihii kuwa una marafiki huku ati eeh!...sio ananihii tu kama nanihiino vile!
Happy birthday Mamito
Kimey una kesi ya kujibu!!!
Ngoja nitoke hapo nje!!!
Mungu akutunze akujalie afya na nguvu
Siku zote za maisha yako. WiseLady!!!!!!!
Happy Bday Wiselady Mungu akuzidishe busara na baraka nyingi zaidi be blessed,Kimey na WL pilau tunaenda kula wapi nimeishaandaa ndizi kabisa