Happy Birthday Zari The Boss Lady aka Mama Tiffa!

Huyo ndo zari bana, mgodi umepata mchimbaji HAPPY BIRTHDAY MAMA TEE
 
Chezea LABOUR WARDS AMBASSADOR wewe?
Anajua kutumia kizazi chake vizuri.
Ni mwendo wa kula kupitia kizazi [emoji13][emoji13][emoji13].

Maneno mengine kwangu sidhani ni sahihi "award ya kuzaa" tupunguze ukali wa maneno na tuwe na akiba ya maneno
Ni kweli watoto watakuwa watano ana uwezo nao na anajua alifanyalo amesema hawezi zalia chooni
Ni maamuzi yake .wanawake tuwekeane staha
 
Maneno mengine kwangu sidhani ni sahihi "award ya kuzaa" tupunguze ukali wa maneno na tuwe na akiba ya maneno
Ni kweli watoto watakuwa watano ana uwezo nao na anajua alifanyalo amesema hawezi zalia chooni
Ni maamuzi yake .wanawake tuwekeane staha
Ndiyo maisha aliyojichagulia,staha unaijua wewe.
 
Wengine wameliwa hadi wamesahau hereni,naskia alihongwa laki 2 tu,..[emoji23] [emoji23] mond Leo kawadhihirishia umati kuwa zee ndo mke halali hao midosho wanuka k hawana nafasi,ila lile dongo la Ivan nasubiria majibu yake.[emoji1]
 
Wengine wameliwa hadi wamesahau hereni,naskia alihongwa laki 2 tu,..[emoji23] [emoji23] mond Leo kawadhihirishia umati kuwa zee ndo mke halali hao midosho wanuka k hawana nafasi,ila lile dongo la Ivan nasubiria majibu yake.[emoji1]
Mke halali bila ndoa?Hebu acheni kufuru jamani.
 
Mke halali bila ndoa?Hebu acheni kufuru jamani.
[emoji23] na mtatokwa na povu mwaka huu,..kwani ndoa ni nini?ndoa ni muunganiko wa mwanaume na mwanamke kuishi pamoja kama mke na mume katika maisha yao yote..........(sheria ya ndoa 1971 kifungu cha 9).
[emoji23] na mtatokwa na povu mwaka huu,..kwani ndoa ni nini?
 
Kuungana kwa kuishi kihuni?Au kuungana kwa kuzaa?
Ndoa na iheshimiwe,sio jambo la mchezomchezo.
Wake za watu halali ni akina Shamsa Ford bwana [emoji108].
 
Adam na Hawa walifunga ndoa kanisa gani au msikiti UPI??walikuwa na cheti cha ndoa?kulikuwa na shahidi.??
Hivi waliotuletea mafundisho ya dini Yesu (Issa Bin Mariam) na Mtume Muhammad (S.A.W) na Adam na Hawa ni nani wa kwanza kuwepo?
Acha kuleta mambo ya kale ambapo hakukuwa na dini.
Sasa tunaishi ktk ulimwengu wa dini na mafundisho yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…